Maajabu ya funguo niliyoiokota alfajiri ya leo

Funguo zingine zinaingiliana kwenye kufungua pekee ila kufunga hazifungi, so hamna maajabu hapo kama vp rudisha funguo ya watu.
 
Kuna siku mimi na jamaa yangu tulienda duka moja kununua funguo
Yalikuwepo ya aina nyingi
Kuna makufuri moja hivi kubwakubwa la pembe nne nlilipenda japo n kubwa haswa!
Nkaomb kulitazama ...nkalipenda
Nkaomba lingine tena
Wakanipa
Nikajaribu kufungua kwa funguo ya kufuri lingine ikafungua


Nkajisemea moyoni
Kumbe hili n kubwa jingaa
 
Ama kweli Dar inaongoza kwa wagonjwa wa akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…