Maajabu ya Javelin na HIMARS

Maajabu ya Javelin na HIMARS

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
download (1).png
images - 2022-07-31T133816.818.jpeg
images - 2022-07-31T133936.253.jpeg

Huwezi kuamini, hivyo visilaha vimefanya kazi ya ajabu sana kulichakaza jeshi la pili Kwa ubora ulimwenguni ( Russian Army).

Vimeundwa Kwa gharama ndogo sana ila Kwa tech ya juu sana. Wote tulishuhudia ule msafara wa km 65 Kiev mwezi pili na tatu ukiyeyushwa kama theruji. Adui akabili mbinu baada ya kuona hali SI hali.

Ile mbinu yake mpya dawa yake ni Kadude kangine kanaitwa High Mobility Artillery Rocket System (HIMARS). Hako Kadude kanamtoa jasho tena.
 
View attachment 2309930View attachment 2309931View attachment 2309932
Huwezi kuamini, hivyo visilaha vimefanya kazi ya ajabu sana kulichakaza jeshi la pili Kwa ubora ulimwenguni ( Russian Army). Vimeundwa Kwa gharama ndogo sana ila Kwa tech ya juu sana. Wote tulishuhudia ule msafara wa km 65 Kiev mwezi pili na tatu ukiyeyushwa kama theruji. Adui akabili mbinu baada ya kuona hali SI hali. Ile mbinu yake mpya dawa yake ni Kadude kangine kanaitwa High Mobility Artillery Rocket System (HIMARS) . Hako Kadude kanamtoa jasho tena.
[emoji2]
 
Hizo Javelin na HIMARS zimerudisha majimbo mangapi,hivi unajua toka juzi Urusi imechukua maeneo manne?
 
Russia is a pale shadow of the defunct USSR and the main thing that the despotic states share in common is only the political propaganda, a non lethal weapon that the Russian regime uses to brainwash its disenchanted people.
 
Zimeleta faida gani huko Kiev urusi ilijiondoa Hapa tukubali tu silaha za western ni dhaifu tu hazina faida
 
Zimeleta faida gani huko Kiev urusi ilijiondoa Hapa tukubali tu silaha za western ni dhaifu tu hazina faida
punguza mahaba mzee kipigo cha himars kime wafanya jamaa warud mezan kremlin kujadiliana wanafanyaje maana wana puputishwa kama upupu 50 amunition depot za russia ndani ya muda mfupi zime geuzwa majivu na hapo bado hazijaja himars zenye masafa marefu mpaka uko kremlin patakua hapakaliki sasa
 
Back
Top Bottom