[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] wanajifungia sana tatizo. Uswazi kuna mengiUzunguni kila mtu na lwake....
..mageti makubwa + ukuta mrefu km jela bhana !!
It's a boring !!!![emoji125] [emoji125] [emoji125]
Vigodoro kuanzia ijumaa hadi jumapili. Joto city hii
Am waitingteh! ngoja nije
Ushaliwateh! ngoja nije
kaelekea Kibla mwenyewe.Am waiting
Hahahahakaelekea Kibla mwenyewe.
Na inapotea kirahisi!na ela inapatikana kirahisi
Hahahaaaaaa wanawake kwa waschana wanavaa dera kama vazi la shughuli na linavaliwa kama sare pia wamama hawajifungi khanga na vitenge tena.
Yaani uko sahihi kwa hapa, pesa ya dar hupita kama upepoKweli mkuu...tatizo hela haikai sana mfukoni si unajua kila kitu lazima ununue hadi mbilimbi !!!!