Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata katiba iwe vipi, wanasiasa wenye nguvu hawashindwi KUITEKA "acha pang'ang'a" mkuu 🤣🤣Hiyo ndio sababu wenye Akili tunaidai KATIBA mpya na CCM wakisikia tuu neno KATIBA mpya kitu kinagonga ktk chup zao.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Kabisa aseeHiyo ndio sababu wenye Akili tunaidai KATIBA mpya na CCM wakisikia tuu neno KATIBA mpya kitu kinagonga ktk chup zao.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
KATIBA MOYA NIMFUMO SAHIHI WA SISI AKINA KABWELA KUTODANGANYIKA NA WANASIASA. MAANA TUTAWAJIBISHA KWA MUJIBU WA KATIBA.Hata katiba iwe vipi....wanasiasa wenye nguvu hawashindwi KUITEKA...."acha pang'ang'a" mkuu 🤣🤣
Tumeviona baadhi ya vipengele vya katiba za baadhi ya nchi vikibadilishwa na WALIO MAMLAKANI ili tu WAENDELEE KUGOMBEA MIHULA MINGINE ama wavivuke vipengele vya UMRI....
CHADEMA mnapoyataka madaraka ya nchi msitulaghai wenye "kufikiri"🤣🤣
#SiempreJMT
#NchiKwanza
Wanasiasa watabaki hivyohivyo hata ikiwepo hiyo katiba ya "hamu yako".....KATIBA MOYA NIMFUMO SAHIHI WA SISI AKINA KABWELA KUTODANGANYIKA NA WANASIASA. MAANA TUTAWAJIBISHA KWA MUJIBU WA KATIBA.
Chadema ipi?Wapinzania ni CHADEMA pekee hawa wengine ni wasaka fursa
Ndio itafanya msimuombe Gwajima kuwa mshenga wenu wa kumleta EL chadema tena?Hiyo ndio sababu wenye Akili tunaidai KATIBA mpya na CCM wakisikia tuu neno KATIBA mpya kitu kinagonga ktk chup zao.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Hiyo hiyo inaogopwa NChadema ipi?
Hii hii iliyomfanya Gwajima kuwa mshenga wa kumleta EL chamani?
Hana kosa, kosa ni akili mbovu za waliomkaribisha kugombea wakijua nini kiliwakuta CDM 2015Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni:
View attachment 1964754
Huyu ndiye Bernard Kamilius Membe mgombea urais kwa tiketi ya ACT wazalendo akiwa mwana CCM.
Hili bila shaka ndiyo lile bao almaarufu la dak ya 90.
Kazi kweli kweli.
Tunakumbushana tu sisiem ndio watakaohodhi mradi mzima wa utekelezaj ktk uandish wa katiba mpya na sidhan km kutakua na maajab yoyote na ndio maana wanatupotezea wanaona km tutawapotezea muda tuHiyo ndio sababu wenye Akili tunaidai KATIBA mpya na CCM wakisikia tuu neno KATIBA mpya kitu kinagonga ktk chup zao.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
17.3.2021watu kama hawa ni wa kuhamziwa tu na watu wasiojulikana.ili liwe funzo kwa wengine warudishwe nyumbani Jehannamu.