Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Halafu sasa ukipiga yale mastyle ya khanga moja ndo kujitokelezea hadi rahaa!Kanihamasisha
Wacha kabisaHalafu sasa ukipiga yale mastyle ya khanga moja ndo kujitokelezea hadi rahaa!
Halafu sasa ukute imelowa na kwa bahati nzuri ukute tako unalo, kwa mfano uwe umenyeshewa mvua uko tepetepe!!......Nikiwa karibu lazima nikurukie yaani!Wacha kabisa
Yaalaah!Halafu sasa ukute imelowa na kwa bahati nzuri ukute tako unalo, kwa mfano uwe umenyeshewa mvua uko tepetepe!!......Nikiwa karibu lazima nikurukie yaani!
Mbona umenivunja mbavu.....Kuna dadamoja aliniomba nimnunulie kanga ilioandikwa mtabaki hoi kwake hamnitoi, sasa nikaenda dukani kitendo cha kuuliza tu wenye duka akaniuliza mwenye kanga hii anakaa mbali?nikamjibu kwa nn? jibu alilonipa wala sikupitia stendi niliona nachelewa