Ndo nnavyopenda sasa kupelekwa mjini nikashangae magorofa miewatakuja kukuoa huko wakurudishe dar!!
AmiiiinaPokea hiyo.... wenyewe mmesema
View attachment 335278
Kipengele hicho hata mie mgeniUmeangalia hizo kopa zinavyotizama chini?
Hahahaha! HatariHalafu ana kibamia...full mbwembwe
hapo lazima akili hi-stack kwa dakika 1Khanga moko lazima udate...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kila ivaliwapo Khanga haikosi ujumbe, ni kama kibalaghashia kilivyo kwa watu wa pwani.Kipengele hicho hata mie mgeni
hatari sana.Duh akiwa na kifungashio balaa lake sio la kifoto
Ujumbe upo wapi?View attachment 335284[emoji7] [emoji7]
Hii tamu sanaaa, ina maneno kuntuuView attachment 335284[emoji7] [emoji7]
Umeona naweeeHii tamu sanaaa
Je maana ya zile kopa kugeuka?Kila ivaliwapo Khanga haikosi ujumbe, ni kama kibalaghashia kilivyo kwa watu wa pwani.
Atamnunulia ya kuwapiga kijembe kitaa kizimaBadala aje atafute neno zuri la kumpelekea wifi
Ahhh mkuu mbona iko wazi, kitu kipinduliwacho kinamaanisha nini?Je maana ya zile kopa kugeuka?