Kitaeleweka
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 394
- 88
The cacophony of condescension, concomitant with a conspiratorial compliment completes a comedic cahoot of a callous conformity with a candor of cobblers.
The cacophony of condescension, concomitant with a conspiratorial compliment completes a comedic cahoot of a callous conformity with a candor of cobblers.
Hahahaaa kiranga utatuua sasa. Haya iron lady lako hilo. kiranga hebu andika kwa kiswahili wote tuelewe pls.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
kwa sisi tunaojua kanuni za lugha hajafanya lolote hapo kwa sababu hajawasiliana ameamua tu kutaka sifa. kanuni ya lugha ni kuwasiliana sio kuwasiliana mwenyewe. kiranga anatafutaga sifa sijui ni muha....................a.
tetteeeee haya bwana langu hilo nitalifanyia kazi
maana ya lugha sio kuonesha ubabe wako wa lugha ila kuwasiliana, maana yake wewe uongee na ueleweke na mwenzako naye aongee na wewe uelewe.but if you feel comfortable communicating to yourself.well and good.
kwa hiyo hapo ulivyoandika hayo madude umeona raha na kufikiri umeonekana umefanya la maana na kuonekana umesoma sana kumbe u have not communicated at all.is it wise thing to do?
kwa sisi tunaojua kanuni za lugha hajafanya lolote hapo kwa sababu hajawasiliana ameamua tu kutaka sifa. kanuni ya lugha ni kuwasiliana sio kuwasiliana mwenyewe. kiranga anatafutaga sifa sijui ni muha....................a.
tetteeeee haya bwana langu hilo nitalifanyia kazi
anazo dalili zote za unigambireLabda mimi na wewe ndo hatujamuelewa kama kuna aliyeelewa atudadavulie. Mi dictionary iko mbali. Dah kiranga hebu funguka. Iron lady unataka kusema ni "unigambire stupid infront of my wife?" Baba koku....!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
lakini kumbuka ulikuwa unanijibu mimi.Kanuni niliyoifuata hapo ni kuwasiliana na wenye uwezo wa ku appreciate nilichoandika.
Obviously wewe huna uwezo.
Usiliseme chesi baya kwa kuwa tu hujui askofu anaendaje.
ni kwanini umtukane huyu jamaa namna hiyo kwani amekosea nini jamani?aliyosema ni kweli,,,,so offensive
Wadau nimejalibu kufuatilia na kufuatiliana masuala ya kufa na kuzaliwa
KUZALIWA
mana kwa takwimu mbalimbali inaonyesha watu wengi hujifungua hasa nyakati za usiku kuanzia mida ya kumi jioni na kuendelea mpaka saa nne asubuhi kwa mida ya mchana ni nadra sana
KUFA/KUKATA ROHO.KUAGA DUNIA
Watu walio wengi ambao husumbuliwa na maradhi mbalimbali nao huanza kufa kuanzia nyakati za jioni,usiku mpaka mida ya saa tano asubuh na kama itatokea kufa mchana ni wachache sana
Ivi hiyo mida inauhusiano gani na hayo matukio mawili mana watu hawazaliwi mchana na wala hawaagi dunia mida ya mchana?
Nb.hapo hatujazungumzia ajali
that not true ukisema to be absent from this body means there is another body or something else apart frm this which is nat true
matatizo ya kuvuta sigara bwegge.....Hii ndo shida ya watu wanafikili kwa masabuli yaani ww hata babako nafikili humjui na hata mamako atakua hakujui na ww humjui maana huyo unaemwita mamako alikuiba na hata mamako alikuzaa kwa bahati mbaya ndo maana akakutupa chooni mwana izaya mkubwa weeee....
Mala nyingi mimba zinatungwa usiku so miezi tisa ya mimba huanzia pale wanaposhiriki tendo la ndoa,ili iwe miezi tisa kamili tunaweza kuhesabu masaa tangu kutungwa mimba mpaka kuzaliwa.
Nafikiri umesahau kwamba hata kuingia au kutunga mimba mara nyingi ni usiku....:israel: