kibumbu master
Member
- Nov 28, 2016
- 54
- 34
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unabisha? Simba wa karatasi hana madhara.mkuu umenitibua, huwezi kumzungumzia mnyama kitoto hivyo.
Nyuso zipo hapa JF, mtu anachambuwa vitu kitaalam wewe unataka alete porojo? Simba ni under dog kundi hili.Mkuu. Ficha basi uyanga wako na uweke utaifa kaka mnatia haibu sana kwa kukosa uzalendo. Simba inawakilisha nchi na sio klabu. Ila kesho itajulikana mbivu na mbichi sijui mtaweka wapi nyuso zenu.
Lakini ndio huyo huyo aliyewakaza mchana kwenye dimba la mchina februari 16 mwaka huu.
Kama uliangalia mechi ya Vita na Al Ahly, Simba is out of this tournament, hakuna mazingaombwe yoyote tunayoyaweza kuwazidi Wacongo, uchawi, mpira, muziki hatuwawezi hata kimoja, angalia ratiba ya Ngwasuma siku hiyo wako wapi tutakuwa na wachezaji wa Vita baada ya kuchezea makalio ya Simba.Nadhani ingawa Simba walifungwa jana LAKINI wameacha heshima huko Algeria kwa kutokubali kufungwa kikondoo.Ukiangalia mechi ilivyokuwa ni dhahiri lolote lingewezakutokea iwapo Simba wangetumia zile nafasi walizozipata vizuri. Kama Simba wataifunga As Vita na kuingia robo fainali usishangae kuwaona wakifika hata nusu fainali ILA niseme tu kwamba mechi na Vita itakuwa ngumu ngumu sana na kwa wale wanataka kuona mechi ya uhakika, basi mechi na As Vita ni mechi ya kutokuikosa. Nimeandika niliyoandika sio kama mshabiti wa Simba au Yanga bali mfuatiliaji wa mpira wa miguu mwenye upeo mpana kiasi chake.
Angalia usichezewe makalio wewe kama ulivyozoea. Amefungwa bingwa wa kihistoria Africa itakuwa hao wacheza bolingo. Vita atakufa apende asipende. Njoo uwanjani siku hiyo uwasindikize. Alichezewa makalio Zahera na Jumamosi zamu ya wacheza sebene wenzake. Njoo umevaa shanga kabisa kama kawaida yako.Kama uliangalia mechi ya Vita na Al Ahly, Simba is out of this tournament, hakuna mazingaombwe yoyote tunayoyaweza kuwazidi Wacongo, uchawi, mpira, muziki hatuwawezi hata kimoja, angalia ratiba ya Ngwasuma siku hiyo wako wapi tutakuwa na wachezaji wa Vita baada ya kuchezea makalio ya Simba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakifungwa na Simba watatafuta sababu nyengineAngalia usichezewe makalio wewe kama ulivyozoea. Amefungwa bingwa wa kihistoria Africa itakuwa hao wacheza bolingo. Vita atakufa apende asipende. Njoo uwanjani siku hiyo uwasindikize. Alichezewa makalio Zahera na Jumamosi zamu ya wacheza sebene wenzake. Njoo umevaa shanga kabisa kama kawaida yako.
Kama uliangalia mechi ya Vita na Al Ahly, Simba is out of this tournament, hakuna mazingaombwe yoyote tunayoyaweza kuwazidi Wacongo, uchawi, mpira, muziki hatuwawezi hata kimoja, angalia ratiba ya Ngwasuma siku hiyo wako wapi tutakuwa na wachezaji wa Vita baada ya kuchezea makalio ya Simba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia usichezewe makalio wewe kama ulivyozoea. Amefungwa bingwa wa kihistoria Africa itakuwa hao wacheza bolingo. Vita atakufa apende asipende. Njoo uwanjani siku hiyo uwasindikize. Alichezewa makalio Zahera na Jumamosi zamu ya wacheza sebene wenzake. Njoo umevaa shanga kabisa kama kawaida yako.
Mkuu sijakujibu wewe. Nilimjibu huyo anayejidai mhuni.Alileta uhuni akajibiwa kihuni.Samahani, kumbe ushabiki/upenzi wa mpirs ni uhuni? Hebu nikuulize umelewa nini katika nilichoandika?
Mkuu sijakujibu wewe. Nilimjibu huyo anayejidai mhuni.Alileta uhuni akajibiwa kihuni.
Umeandika kizalendo mkuu hiyo mechi na Vita itakuwa ni mpambano mkali sana hakuna atayekubali kutoka kikondoo japo Simba yuko nyumbani ila kazi anayo.Nadhani ingawa Simba walifungwa jana LAKINI wameacha heshima huko Algeria kwa kutokubali kufungwa kikondoo.Ukiangalia mechi ilivyokuwa ni dhahiri lolote lingewezakutokea iwapo Simba wangetumia zile nafasi walizozipata vizuri. Kama Simba wataifunga As Vita na kuingia robo fainali usishangae kuwaona wakifika hata nusu fainali ILA niseme tu kwamba mechi na Vita itakuwa ngumu ngumu sana na kwa wale wanataka kuona mechi ya uhakika, basi mechi na As Vita ni mechi ya kutokuikosa. Nimeandika niliyoandika sio kama mshabiti wa Simba au Yanga bali mfuatiliaji wa mpira wa miguu mwenye upeo mpana kiasi chake.
Mkuu hawa wahuni hawaendi bila mijeledi. Ukiwajibu kistaarabu hawaachi ujinga.Ahsante nimekuelewa LAKINI ungeweza pia kumsamehe
Ubwege wako umeuonyeshea hapa tu.hata hivyo kufungwa ni jambo linaloonekana ni dhahiri kwao
As vita wachezaji wote wapo very commitment wana discpline moja ya hatari ni vigumu sana kwa timu km simba kuwafunga ...wachezaji wa simba suala la discpline uwanjani ni Tatizo na sijui km wataweza kupata matokeo mbele ya timu yenye descpline km as vitaNadhani ingawa Simba walifungwa jana LAKINI wameacha heshima huko Algeria kwa kutokubali kufungwa kikondoo.Ukiangalia mechi ilivyokuwa ni dhahiri lolote lingewezakutokea iwapo Simba wangetumia zile nafasi walizozipata vizuri. Kama Simba wataifunga As Vita na kuingia robo fainali usishangae kuwaona wakifika hata nusu fainali ILA niseme tu kwamba mechi na Vita itakuwa ngumu ngumu sana na kwa wale wanataka kuona mechi ya uhakika, basi mechi na As Vita ni mechi ya kutokuikosa. Nimeandika niliyoandika sio kama mshabiti wa Simba au Yanga bali mfuatiliaji wa mpira wa miguu mwenye upeo mpana kiasi chake.
Ubwege wako umeuonyeshea hapa tu.
Ubwege wako umeuonyeshea hapa tu.