Maajabu ya lugha na binadamu.

Maajabu ya lugha na binadamu.

Al-habiib

Senior Member
Joined
Jun 21, 2023
Posts
110
Reaction score
151
Habari wakuu,

Nimekuwa nikijiulza hivi sayansi ya lugha duniani ikoje, mbona duniani lugha ni nyingi ila kuna maneno ambayo kila taifa lazma wawe nayo na maana Ni moja.

Utakuta watu wa Asia kama waarabu, waajemi yani wahindi, Malaysian, Indonesian n.k wanaingiliana sana maneno kwenye lugha zao Ila haishangazi sana sababu wote ukanda mmoja.

Pia nimekutana na maneno ya lugha ya Malasyia yanafanana sana na kiswahili na maana ni moja mfano chapati, maskini (hli neno lipo kwa waarabu na waajemi japo kwenye Kiswahili hIli neno asili yake ni arabuni).

Yote kumi Ila haya maneno mawili yanatumika na lugha nyingi sana na watoto wa mataifa mengi wanatamka udogoni ,nayo Ni MAMA na BABA .

Haya maneno yanatamkwa kwenye lugha nyingi sana mfano kichina,kihindi,kizulu,kibengal,kingereza, na lugha tofaut tofaut.

Naomba kujua kutoka kwa wabobezi wa lugha hvi hii imakaaje, maneno Kama haya kutumika karbia dunia nzima sababu inaweza kuwa nini?

Ahsante.
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikijiulza hivi sayansi ya lugha duniani ikoje, mbona duniani lugha ni nyingi ila kuna maneno ambayo kila taifa lazma wawe nayo na maana Ni moja.

Utakuta watu wa Asia kama waarabu, waajemi yani wahindi, Malaysian, Indonesian n.k wanaingiliana sana maneno kwenye lugha zao Ila haishangazi sana sababu wote ukanda mmoja.

Pia nimekutana na maneno ya lugha ya Malasyia yanafanana sana na kiswahili na maana ni moja mfano chapati, maskini (hli neno lipo kwa waarabu na waajemi japo kwenye Kiswahili hIli neno asili yake ni arabuni).

Yote kumi Ila haya maneno mawili yanatumika na lugha nyingi sana na watoto wa mataifa mengi wanatamka udogoni ,nayo Ni MAMA na BABA .

Haya maneno yanatamkwa kwenye lugha nyingi sana mfano kichina,kihindi,kizulu,kibengal,kingereza, na lugha tofaut tofaut.

Naomba kujua kutoka kwa wabobezi wa lugha hvi hii imakaaje, maneno Kama haya kutumika karbia dunia nzima sababu inaweza kuwa nini?

Ahsante.
Kuna taaluma inaitwa linguistic anthropology inawez kuwa na majib ya hili. Although kuna hisia za binadam kupitia kipindi cha contact/early contact ambacho kinaambatana na cultural diffusion. Hii inatoa maana pia ya teknolojia ya kale kuwa common. Mfano watu kale wote duniani waliko wanatumia mishale na kuvaa nguo zinazofana. Kupaka rangi miili na hata uwepo wa pyramid katika bara la America.


Huko pia kuna nadharia inayosema lugha za jamii zilzopo ulay zote zinachipukia mzizi wa lugha ya classical Latin.. I do think kuna watu wana majib ya hil.. let's wait
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikijiulza hivi sayansi ya lugha duniani ikoje, mbona duniani lugha ni nyingi ila kuna maneno ambayo kila taifa lazma wawe nayo na maana Ni moja.

Utakuta watu wa Asia kama waarabu, waajemi yani wahindi, Malaysian, Indonesian n.k wanaingiliana sana maneno kwenye lugha zao Ila haishangazi sana sababu wote ukanda mmoja.

Pia nimekutana na maneno ya lugha ya Malasyia yanafanana sana na kiswahili na maana ni moja mfano chapati, maskini (hli neno lipo kwa waarabu na waajemi japo kwenye Kiswahili hIli neno asili yake ni arabuni).

Yote kumi Ila haya maneno mawili yanatumika na lugha nyingi sana na watoto wa mataifa mengi wanatamka udogoni ,nayo Ni MAMA na BABA .

Haya maneno yanatamkwa kwenye lugha nyingi sana mfano kichina,kihindi,kizulu,kibengal,kingereza, na lugha tofaut tofaut.

Naomba kujua kutoka kwa wabobezi wa lugha hvi hii imakaaje, maneno Kama haya kutumika karbia dunia nzima sababu inaweza kuwa nini?

Ahsante.
Alama miongoni mwa alama za uwepo wake!
 
Soma biblia takatifu au Quran tukufu, utapata majibu sahihi kabisa.

Kisa Cha kwanza ni mlima wa babeli. Ndiyo mfumo mzima wa kusambaa kwa lugha tofauti duniani.
 
Soma biblia takatifu au Quran tukufu, utapata majibu sahihi kabisa.

Kisa Cha kwanza ni mlima wa babeli. Ndiyo mfumo mzima wa kusambaa kwa lugha tofauti duniani.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom