Maajabu ya lugha ya Kiingereza (Sehemu 1)

Maajabu ya lugha ya Kiingereza (Sehemu 1)

Meneja CoLtd

Senior Member
Joined
Mar 6, 2021
Posts
122
Reaction score
143
Utamkaji wa maneno ya kingereza unatofautiana sana katika dunia, na hii yote inatokana na kuenea kwa lugha ya kingereza duniani.

Duniani ambapo watu wake wanatofautiana tamaduni, desturi na hata lafudhi, nahii kupelekea baadhi ya maneno ya kingereza kua na utamkaji tofautitofauti.

Lakini asili ya lugha ya kingereza ni kizungu na kimarekani (British and America).
Wamarekani katika utamkaji wao wa maneno wanaidhihilisha (R) mfn;
Car - wanatamka mpaka R ya mwisho yaani /ka:r/
Lakini Mzungu yeye;
Car - atatamka bila kuitaja R ya mwisho yaani /ka:/
 
Pia nimegundua ni rahisi kuongea au kujifunza kupitia American English kuliko British E
Hii inategemeana na MTU maana taasisi nyingi zilizo rasmi nahata mashuleni wanatumia British Accent, American Accent ni juhudi za mtu binafsi.
 
Hii inategemeana na MTU maana taasisi nyingi zilizo rasmi nahata mashuleni wanatumia British Accent, American Accent ni juhudi za mtu binafsi.
Sawa mkuu, wewe kwa upande wako ume bobea katika style ipi, American or British?
 
Back
Top Bottom