Maajabu ya matumizi ya rangi zenye sifa ya kuongeza wateja kwenye biashara yako

Maajabu ya matumizi ya rangi zenye sifa ya kuongeza wateja kwenye biashara yako

Iziwari

Member
Joined
Jun 5, 2021
Posts
90
Reaction score
72
Uchaguzi wa rangi ni muhimu sana kwanye biashara yako kuliko unavofikiria.

Rangi zinaongeza hamasa kubwa kwa jinsi wateja wanavoiangalia biashara yako na kuithamini.

Na moja ya mambo ambayo watu wengi wanakosea ni kuchagua rangi zinazofaa katika biashara zao.

Kumbika ukianza tu kutumia mchanganyiko wa rangi vizuri utaanza kuona mabadiliko kwenye biashara yako.

Hii apa siri kubwa iliojificha kwenye rangi.

  1. Rangi Nyekundu ni rangi yenye nguvu sana katika kuvutia wateja. Jinsia zote hupenda rangi hii. kutumia rangi nyekundu kuna hamasisha furaha na mahusiano. hii ni rangi inayo vutia watu kwa haraka sana.
  2. Blue inahamasisha watu kukuona proffessional yani mahiri na mtu wa kuaminika. Utaonekana kama mtu wa kuaminika. Na rangi hii ni nzuri sana kwa biashara zinazotoa huduma za ki umahiri Zaidi.Uki changanya blue na rangi ya kijivu au nyeusi utaongezea rangi ya blue nguvu Zaidi. Lakini kumbuka light blue ndio inapendawa Zaidi na watu kuliko dark blue. Ni kwa sababu haimfanyi mteja akajisikia vibaya na ina mpa nguvu ya maamuzi.
  3. Ukitaka kufahamu Zaidi kuhusu rangi zingine kama njano, gold kijani, brown, nyeusi na orange.tembelea tovuti Maajabu ya jinsi rangi zinavotumika kuongeza wateja kwenye biashara yako. | kilakitu
  4. Moja ya vitu vya muhimu sana katika swala hili la rangi ni kwamba kwa ufaham wa kawaida hauwezi kutumia rangi ya gold inayon’gaa sana kwenye biashara ya kuuza chumvi.
  5. Na mara nyingi watu wanakujaji kwa rangi unazotumia kwenye biashara yako.
  6. Au kama una maoni weka apo toa maoni yako hapo chini.


View: https://www.youtube.com/watch?v=MlLBPekiMM4
Tembele ulichokiona hapo juu kupitia link hii
 
Ww km mm sijajua hizo rangi zinahusika vp mm biashara yangu ya scrapper rangi wapi na wapi.

Hajaeleza rangi za kitu gani fremu?bidhaa zenyewe au kitu gani

Fikilia nikikwambia Unaijua TTCL? Unaijua TIGO? Basi cha kwanza zitakuja zile rangi zake kisha utaanza kufikilia kuhusu wanachofanya.
 
Sijaelewa chochote kwenye hii mada

Kiufupi mada ililenga kitu kinaitwa

"saikolojia ya rangi"

Inaaminika kila rangi hupelekea akili yako kuenenda katika namna flani kwa hiyo ndio maana vitu vingi unavyoviona aidha majengo, biashara au bidhaa yoyote ile hupewa rangi kutokana na group la rangi katika saikolojia

Mfano rangi ya pink huchukuliwa kama rangi ya kike ndio maana bidhaa za kike kama pedi utazikuta na package yenye rangi hiyo

rangi nyeupe huwakilisha usafi ndio maana lodge, hotels hutumia rangi hizo kwenye mashuka au facilities zao nyingine kama jiko kuwapa assurance wateja juu ya usafi

inaaminika rangi ya machungwa, njano na nyekundu huamsha hisia za appetite ya kula au kunywa ndio maana bidhaa nyingi za vyakula utavikuta na rangi hizo

Kijani huwasilisha uasilia na uoto wa asili ndio maana huusianishwa na dawa za asili hasa zinazotumia mimea. ndio maana utawaona kina dokta mwaka na watu wa tiba asilia wengine wakitumia kijani kwenye brand zao

Hivyo ukitaka kuanzisha biashara au bidhaa ni.muhimu kujua rangi unayoichagua ina maana gani au inaleta impact gani ya kisaikolojia

hopefully umenielewa
 
Kiufupi mada ililenga kitu kinaitwa

"saikolojia ya rangi"

Inaaminika kila rangi hupelekea akili yako kuenenda katika namna flani kwa hiyo ndio maana vitu vingi unavyoviona aidha majengo, biashara au bidhaa yoyote ile hupewa rangi kutokana na group la rangi katika saikolojia

Mfano rangi ya pink huchukuliwa kama rangi ya kike ndio maana bidhaa za kike kama pedi utazikuta na package yenye rangi hiyo

rangi nyeupe huwakilisha usafi ndio maana lodge, hotels hutumia rangi hizo kwenye mashuka au facilities zao nyingine kama jiko kuwapa assurance wateja juu ya usafi

inaaminika rangi ya machungwa, njano na nyekundu huamsha hisia za appetite ya kula au kunywa ndio maana bidhaa nyingi za vyakula utavikuta na rangi hizo

Kijani huwasilisha uasilia na uoto wa asili ndio maana huusianishwa na dawa za asili hasa zinazotumia mimea. ndio maana utawaona kina dokta mwaka na watu wa tiba asilia wengine wakitumia kijani kwenye brand zao

Hivyo ukitaka kuanzisha biashara au bidhaa ni.muhimu kujua rangi unayoichagua ina maana gani au inaleta impact gani ya kisaikolojia

hopefully umenielewa
Umeifafanua vizuri,ubarikiwe.
 
Kiufupi mada ililenga kitu kinaitwa

"saikolojia ya rangi"

Inaaminika kila rangi hupelekea akili yako kuenenda katika namna flani kwa hiyo ndio maana vitu vingi unavyoviona aidha majengo, biashara au bidhaa yoyote ile hupewa rangi kutokana na group la rangi katika saikolojia

Mfano rangi ya pink huchukuliwa kama rangi ya kike ndio maana bidhaa za kike kama pedi utazikuta na package yenye rangi hiyo

rangi nyeupe huwakilisha usafi ndio maana lodge, hotels hutumia rangi hizo kwenye mashuka au facilities zao nyingine kama jiko kuwapa assurance wateja juu ya usafi

inaaminika rangi ya machungwa, njano na nyekundu huamsha hisia za appetite ya kula au kunywa ndio maana bidhaa nyingi za vyakula utavikuta na rangi hizo

Kijani huwasilisha uasilia na uoto wa asili ndio maana huusianishwa na dawa za asili hasa zinazotumia mimea. ndio maana utawaona kina dokta mwaka na watu wa tiba asilia wengine wakitumia kijani kwenye brand zao

Hivyo ukitaka kuanzisha biashara au bidhaa ni.muhimu kujua rangi unayoichagua ina maana gani au inaleta impact gani ya kisaikolojia

hopefully umenielewa
Asante Sana mkuu, Nina frame yangu nimekodisha rangi ipi inafaa kupaka kwa ajili ya kuvuta wateja?

Note: biashara yangu ni samaki wabichi, Kuku wa nyama, mayai na dagaa.
 
Asante Sana mkuu, Nina frame yangu nimekodisha rangi ipi inafaa kupaka kwa ajili ya kuvuta wateja?

Note: biashara yangu ni samaki wabichi, Kuku wa nyama, mayai na dagaa.

Hongera kwa kufungua biashara mkuu ila kwa elimu yangu ndogo tu

Mara nyingi biashara hizo wateja hujali sana usafi kwa hiyo wengi hutumia rangi nyeupe au zenye asili ya weupe kama kaki

Ila Kikubwa ni kutoa bidhaa nzuri na zaidi HUDUMA,

Biashara za vyakula au matumizi ya nyumbani wateja wakubwa ni wanawake na kama unavyowajua, wanajali sana kauli na mahusiano mazuri.

Kibaya au kizuri zaidi ni wasambazaji wazuri wa taarifa kwa hiyo

ukimfurahisha atakutangazaaaaa kuwa kwa fulani kupo vizuri na wateja watakuja wengi zaidi, ukimkera atafanya hivyo hivyo pia

all the best
 
Kiufupi mada ililenga kitu kinaitwa

"saikolojia ya rangi"

Inaaminika kila rangi hupelekea akili yako kuenenda katika namna flani kwa hiyo ndio maana vitu vingi unavyoviona aidha majengo, biashara au bidhaa yoyote ile hupewa rangi kutokana na group la rangi katika saikolojia

Mfano rangi ya pink huchukuliwa kama rangi ya kike ndio maana bidhaa za kike kama pedi utazikuta na package yenye rangi hiyo

rangi nyeupe huwakilisha usafi ndio maana lodge, hotels hutumia rangi hizo kwenye mashuka au facilities zao nyingine kama jiko kuwapa assurance wateja juu ya usafi

inaaminika rangi ya machungwa, njano na nyekundu huamsha hisia za appetite ya kula au kunywa ndio maana bidhaa nyingi za vyakula utavikuta na rangi hizo

Kijani huwasilisha uasilia na uoto wa asili ndio maana huusianishwa na dawa za asili hasa zinazotumia mimea. ndio maana utawaona kina dokta mwaka na watu wa tiba asilia wengine wakitumia kijani kwenye brand zao

Hivyo ukitaka kuanzisha biashara au bidhaa ni.muhimu kujua rangi unayoichagua ina maana gani au inaleta impact gani ya kisaikolojia

hopefully umenielewa
Asante sana mkuu nina swali dogo nina duka la underwears rangi ipi inafaa

Asante
 
Kiufupi mada ililenga kitu kinaitwa

"saikolojia ya rangi"

Inaaminika kila rangi hupelekea akili yako kuenenda katika namna flani kwa hiyo ndio maana vitu vingi unavyoviona aidha majengo, biashara au bidhaa yoyote ile hupewa rangi kutokana na group la rangi katika saikolojia

Mfano rangi ya pink huchukuliwa kama rangi ya kike ndio maana bidhaa za kike kama pedi utazikuta na package yenye rangi hiyo

rangi nyeupe huwakilisha usafi ndio maana lodge, hotels hutumia rangi hizo kwenye mashuka au facilities zao nyingine kama jiko kuwapa assurance wateja juu ya usafi

inaaminika rangi ya machungwa, njano na nyekundu huamsha hisia za appetite ya kula au kunywa ndio maana bidhaa nyingi za vyakula utavikuta na rangi hizo

Kijani huwasilisha uasilia na uoto wa asili ndio maana huusianishwa na dawa za asili hasa zinazotumia mimea. ndio maana utawaona kina dokta mwaka na watu wa tiba asilia wengine wakitumia kijani kwenye brand zao

Hivyo ukitaka kuanzisha biashara au bidhaa ni.muhimu kujua rangi unayoichagua ina maana gani au inaleta impact gani ya kisaikolojia

hopefully umenielewa
 
Bwana ee we mbaya. Ila tunataka kuchimba zaidi kuhusu ili swala la rangi. naomba usiishie hapo. Maana wengi tunakosea sana hapo.
 
Bwana ee we mbaya. Ila tunataka kuchimba zaidi kuhusu ili swala la rangi. naomba usiishie hapo. Maana wengi tunakosea sana hapo.

mkuu mimi sio expert sana ila hicho kitu nakijua kama sehemu tu ya kitu flani..
Nikipata maswali nitajibu kadri ya uwezo wangu
 
Mkuu steshenari nipake rangi gani

kwa uelewa wangu kiasi

issue ni kuangalia wateja gani ulionao ndio uhusianishe na rangi ambazo unadhani itawafaa, lakini bila kusahau ni kitu gani muhimu zaidi kwao katika biashara yako

kuwavutia ni jambo moja na kuhakikisha hawaondoki ni jambo lingine

mfano stationery nyingi zinajihusisha na karatasi tena nyeupe ambazo hazihitaji mikunjo wala uchafu. Isitoshe kazi nyingi utazopata zitakuwa rasmi sio kama barua za kirafiki

hapo utaona usafi, mpangilio na muonekano katika stationery yako unakuwa muhimu zaidi

na hii ndio sababu nadhani stationery nyingi hutumia rangi nyeupe lakini pia huwa wanawekeza katika mpangilio wa vitu vyao na thamani ambazo ni nzuri zaidi kama kabati za vioo
 
Back
Top Bottom