Maajabu ya mwamba Al Naslaa, umekatwa katikati na kitu kikali sana

Maajabu ya mwamba Al Naslaa, umekatwa katikati na kitu kikali sana

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Jiwe au Mwamba wa The Al Naslaa unapatikana Kilometa 50 Kusini mwa Tayma nchini Saudi Arabia. Mwamba huu umekatwa katikati na kitu ambacho kilionyesha kina makali hasa.

Sababu ya mwamba huo kuonekana umekatwa vipande viwili haijulikani hadi leo.

Mwamba huo una upana wa mita 6 na urefu wa mita 9. Ni moja ya kivutio kikubwa cha watalii eneo hilo.

Al_Naslaa_Rock_20211021_105005.jpg
 
Kazi za ANNUNAKI hizo hizo cut utazikuta mwenye mawe yaliyotumika kujengea Pyramids,
Ni Moja ya Teknolojia kubwa za accient civilization!
 
Back
Top Bottom