[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo wapangaji huwa hawana pakuishi?
Kwa hiyo wewe una akili kuliko serikali ya Marekani ..Mnaonishambulia hamjui unyeti wa NASA kwa USA NASA ni zaidi ya jwtz hapa kwetu Sasa mnaonaje jwtz pale ngome upanga karibu na ubalozi wa Burundi iwe ni eneo binafsi la watu? Kuna Mambo ambayo ni purely for state security je private owners hawawezi kulifanyia jengo bugging na Mambo mengine hatarishi kea usalama wa USA?
Hajaandika cha kustua wala kushangaza!!!!Nilijua utashusha nondo konki za NASA, alaf umeishia kwenye "kupanga"!