Maajabu ya ngono

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,436
Habari zenu wakuu, natumai hamjambo.

After sex akili huwa na utulivu wa pekee sana. Nimekaa najiuliza hali hii hutokea kwangu pekee, au hutokea kwa wengine pia?

TUJUZANE WAKUU.
 
Leo ilitakiwa jukwaa hili lifungwe kwa muda mpaka taharuki hii itulie, maana tukiona notification tunajua kuna jipya kumbe MMU nachoka!!!
 
Huwa sipendi sex ya alfajiri, ila wanaume huwa wanasimishaa halafu wasipopata wanaumiaaa ndo wanaanza kukatiza wenzao usingizi.

Raha usingizi uishe uamke uoge, upige mswaki upate staftahi. Shuka la usiku nshalibadili, kitanda kisafiii, madirisha wazi, hewa inaingia na mwanga wa kutosha. Hapo nitakupa machejo yoteee hadi saa tano asubuhi; utacheua hadi ulivyokula juzi, mtondo na mtondogoo aahahahahahaa.

K' Mahaba Matata.
 
Nasisitiza MORNING GLORY twende kazini watulivuuu[emoji56]
 
Nasisitiza MORNING GLORY twende kazini watulivuuu[emoji56]


Aahhh hapo ndo utaona gubu na kiburi cha Kasie kilipo, kams una mchepuko wahi mpige cha alfajiri, mie niache nimalize usingizi wangu. Hata sijaswaki kwichikwichikwichii akuuu

Ukitaka usiku tupige hadi alfajiri ila nikilala usiniamshe hadi usingizi uniishe. Kwanza na uzee huu mwenye kunisumbua cha asubuhi anatafuta mada kesi tuu. Napenda sana kwichi ila alfajiri noop.

Matata K.
 
Ntakuamsha tu[emoji35]
 
Ntakuamsha tu[emoji35]

Aahahahhahaaa hizo ngumi na mateke mfululizo ntakayokutupia....

Mwenyewe utanifunika na blanketi na kunibembeleza nirudi kulala.

Kwa morning glory nimeruhusu mwanaume awe na mchepuko aondoke saa kumi alfajiri akapige morning glory ili aende kazini saafi. Mie atanikuta mchana cha lanchi taimu na jioni evening tea na usiku after supper....

K' Mahaba Matata
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1306][emoji1306][emoji1320] ukisikia kuna ubakaji kwenye ndoa ndo utakaofanyiwa
 
Kz tunaenda sasa ngapi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1306][emoji1306][emoji1320] ukisikia kuna ubakaji kwenye ndoa ndo utakaofanyiwa


Looh wanaume watu wa ajabu sana....

Yaani nakuruhusu uende kwa mchepuko ukapige morning glory tani yako hutaki bado uafikiria kunibaka......

Wallah sikubali, ntaamka navaa bukta skin tite pajama chupi na kanyela mumo juu kisha narudi kitandani kulala najifunika gubigubi na blanketi.
Na ukinizidi nguvu ntalia kilio hichoo mwenyewe utanionea huruma... Eehehehehehheee

K' Matata.
 
Kz tunaenda sasa ngapi

Mie mama wa nyumbani, yeye aende kazini mchana muda wa lunch aje nimlishe ugali niliopika wamotoo akishiba nampa mambo kisha anarudi kazini, jioni tena....heheheeee.

Matata K.
 
Punguza utundu....!
 
Mie mama wa nyumbani, yeye aende kazini mchana muda wa lunch aje nimlishe ugali niliopika wamotoo akishiba nampa mambo kisha anarudi kazini, jioni tena....heheheeee.

Matata K.
Huyo jamaa atakuwa anaufanisi mkubwa sana knife maana hana stress kbs sie wengine tunamalizage zetu huko huko maofisi ni maana nyumbani signal hazishikikbs u kimgusa ni kipepsi tu
 
Huyo jamaa atakuwa anaufanisi mkubwa sana knife maana hana stress kbs sie wengine tunamalizage zetu huko huko maofisi ni maana nyumbani signal hazishikikbs u kimgusa ni kipepsi tu
Huduma hizi inabidi utupatie na sisi akiewa kzn napita apo chap nakupa game la kibabe haaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…