Hahahaha....tatizo unaongea tu huji huku Engaruka.Aahahahahhaaa Azarel jamani nimefanyajeeee....
Yaani najikuta tuu vidole vimeandika aahahahaahaaa
Kwani na wewe umeshikwa na sulikha ya morning glory??!!
Halafu siku nyingi sijapata yenye kinyama kwa chini aka kikunio cha kimasai.....
Wacha nifanye mpango wa kwenda kutembea Arusha na viunga vyake Hydom, Manyara, Karatu n.k.
Habariinyooo, takwinyaaa baba yeyooo Azarel. Tanipokea nikija tembelea boma ya baba yeyooo...!!??
Safari hii nakuja asante kwa mualiko, Engaruka hoyeeeeeeeHahahaha....tatizo unaongea tu huji huku Engaruka.
Bado nakusubiri...!
Njoo holiday ya Dec.
KaribuuSafari hii nakuja asante kwa mualiko, Engaruka hoyeeeeeee
[emoji28][emoji28][emoji28]
K’ Mahaba.
Karibuu
Duh...kama akiwa mwanaume je
Bora yako unaona notification wengine hazipo kabisa tushaweka kila kitu one lakini aa wapiLeo ilitakiwa jukwaa hili lifungwe kwa muda mpaka taharuki hii itulie, maana tukiona notification tunajua Luna jipya kumbe MMU nachoka!!!
Hii coment imenitia genyeHuwa sipendi sex ya alfajiri, ile wanaume huwa wanasimishaa halafu wasipopata wanaumiaaa ndo wanaanza kukatiza wenzao usingizi....
Raha usingizi uishe uamke uoge, upige mswaki upate stafutahi shuka la usiku nshalibadili kitanda kisafiii madirisha wazi hewa inaingia na mwanga wa kutosha, hapo ntakupa machejo yoteee hadi saa tano asubuhi.... Utacheua hadi ulivyokula juzi, mtondo na mtondogoo aahahahahahaa
K' Mahaba Matata.
Hii coment imenitia genye
Nahisi Niko xnxx hapa.Aahahahahhaaaa wee Alvin weewee... eeheheheehheee
Napata picha mie navaa skin tite wewe unanivua, navaa chupi unaishusha aahahahahaa navaa kanyela mumo unaivua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa ukiwa unafanya yote haya kusema huna mchepukoo au unataka tuu nisilale usingizi wangu wa asubuhi? Hivii nyie wanaume hamjuagi utamu wa usingizi wa kuanzia saa kumi alfajiri hadi saa kumi na moja.... hizo morning glory sex mngeishia usiku tuu na kuhamishia evening sex...
Asubuhi tukumbatiane tuu kumalizia usingizi sio kuanza kukwichikwichi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ikibidiii saanaaa yaani hadi mtu ajue udhaifu wangu ulipo, ndo ntajikuta tuu namuachia apige morning glory laah sivyo sitalala na yeye hatapiga tutasumbuana hadi panakucha na mie ntakuwa nimemuna maana sijamalizia usingizi wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Matata K
.....na iwe sex iliyojitosheleza, ukimaliza unapitiwa na kausingizi mororooo, ukiamka hapo unaoga na mambo yanakuwa shwari kabisaàaa.. ...Habari zenu wakuu, natumai hamjambo.
After sex akili huwa na utulivu wa pekee sana...hivyo najiuliza hali hii hutokea kwangu pekee, au hutokea kwa wengine pia?
TUJUZANE WAKUU.
Nahisi Niko xnxx hapa.
Usingle kazi
Sasa muda huo wote si ungetoa tu kimoja tena hata hakikawiii na kiherehere chake ?Looh wanaume watu wa ajabu sana....
Yaani nakuruhusu uende kwa mchepuko ukapige morning glory tani yako hutaki bado uafikiria kunibaka......
Wallah sikubali, ntaamka navaa bukta skin tite pajama chupi na kanyela mumo juu kisha narudi kitandani kulala najifunika gubigubi na blanketi.
Na ukinizidi nguvu ntalia kilio hichoo mwenyewe utanionea huruma... Eehehehehehheee
K' Matata.
Sasa muda huo wote si ungetoa tu kimoja tena hata hakikawiii na kiherehere chake ?
Mbilinge mbilinge zote hizo si usingizi unakuwa ushaondoka sasa sema hamjui tabu tunazozipata pale dudu inapokuwa juu mngekuwa mnatuonea sana hurumaHahahhahahahaa mnapendaa eehh ati kamojaa tuu... Na mkianza kubembeleza utaskia sifanyi muda mrefu naingiza kichwa tuu mara tatu halafu natoa aahahahahahhaaa
Nakubali kamchezo katamu ila usingizi wangu wa asubuhi ni mtamu zaidi tasavali sana bwana dudu tuonane jioni eeheheheheee.
K' Mahaba Matata.
Mbilinge mbilinge zote hizo si usingizi unakuwa ushaondoka sasa sema hamjui tabu tunazozipata pale dudu inapokuwa juu mngekuwa mnatuonea sana huruma