Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
MAAJABU YA TEBO YA TISA KWENYE MAISHA YA MWANADAMU
9×1=9 miez ya kuishi tumboni
9×2=18 umri wa kutambulika mtu mzima kwa baadhi ya nchi
9×3=27 miaka ya ukomavu na binadam kijana anaweza anza kunitegemea kila kitu makazi,malazi na mengneyo
9×4=36 miaka ya kuweza muda kulea( kuanzisha au kuwa na familia yake)kiongozi kabisa
9×5=45 hii miaka hekima huendelea kukomaa na ujuzi wa mambo kwa upana huongezeka ni miaka sahihi sana kuweza kuwa kiongozi wa familia, kampuni,taasisi,vyama n.k
9×6=54 miaka ya busara hekima,na tamaa nyingi za mwili huisha kwa walio wengi, pamoja na nguvu za mwili kupungua lkn akili maarifa huwa kubwa ndio kipindi sahihi pia kuweza kuwa mkurugenzi wa taasisi yoyote kubwa na hata kuongoza nchi, maana mihemko na sifa kupungua
9×7=63 miaka ya toba na kujiandaa kuwa mzee mwema na mwisho mzuri kwa kuanza pia kujisogeza sana kwa Mungu na pia ndio umri mzuri pia kuongoza watu maana akili na moyo huwa hazina tamaa kama kijana wa miaka chini ya miaka 30 mwenye ndoto nyiingi na nadharia kibao negative
yanayotokea kwa vijana hawa ni sababu ya kuwahisha kuwapa nafasi kabla ya umri mazingira na tabia za binadamu
9×1=9 miez ya kuishi tumboni
9×2=18 umri wa kutambulika mtu mzima kwa baadhi ya nchi
9×3=27 miaka ya ukomavu na binadam kijana anaweza anza kunitegemea kila kitu makazi,malazi na mengneyo
9×4=36 miaka ya kuweza muda kulea( kuanzisha au kuwa na familia yake)kiongozi kabisa
9×5=45 hii miaka hekima huendelea kukomaa na ujuzi wa mambo kwa upana huongezeka ni miaka sahihi sana kuweza kuwa kiongozi wa familia, kampuni,taasisi,vyama n.k
9×6=54 miaka ya busara hekima,na tamaa nyingi za mwili huisha kwa walio wengi, pamoja na nguvu za mwili kupungua lkn akili maarifa huwa kubwa ndio kipindi sahihi pia kuweza kuwa mkurugenzi wa taasisi yoyote kubwa na hata kuongoza nchi, maana mihemko na sifa kupungua
9×7=63 miaka ya toba na kujiandaa kuwa mzee mwema na mwisho mzuri kwa kuanza pia kujisogeza sana kwa Mungu na pia ndio umri mzuri pia kuongoza watu maana akili na moyo huwa hazina tamaa kama kijana wa miaka chini ya miaka 30 mwenye ndoto nyiingi na nadharia kibao negative
yanayotokea kwa vijana hawa ni sababu ya kuwahisha kuwapa nafasi kabla ya umri mazingira na tabia za binadamu