Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
PYRAMID linalopatikana Misri lilikua ndio jengo refu zaidi lililojengwa na mwanadamu miaka 4000 iliyopita .Mojawapo ya pyramid refu zaidi huko Misri (Egypt) lina urefu wa futi 481 sawa na jengo lenye ghorofa 48.Lina uzito wa tani million 14.5,limechukua eneo la mraba hekari 13 sawa na viwanja kumi vya mpira wa miguu.Inaaminika kua lilianza kujengwa mnamo 2540BC na kumalizika miaka 23 baadae.
PYRAMID kubwa zaidi MISRI (Egypt) lilitumia matofali (majabali,mawe) 2,300,0000 (million mbili na laki tatu) na inakadiriwa kua kila tofali/jabali/jiwe lilikua na uzito wa tani 7, kwenye kilele cha pyramid hilo jiwe lililotumika kufunika juu kabisa lina uzito wa tani 50 mpaka leo wazungu wanajiuliza ni kina nani walilipandisha jiwe hilo na ilifanyika vipi jiwe la namna hiyo kupandishwa juu urefu wa futi zaidi ya 400 na binadamu jambo ambalo ni gumu kulielewa
Pia unaambiwa PYRAMID hilo lilijengwa kwa vipimo vya hali ya juu na ustadi mkubwa sana jambo ambalo linathibitisha kua taaluma ya uhandisi na hesabu imeanza kutumika miaka mingi sana kipindi hicho wazungu bado wana ng'aa macho mapangoni
Pande zote tatu za PYRAMID zipo sawa na unaambiwa huwezi kuona kimvuli cha pyramidi hata ukae upande gani hii inamaana kua hata jua likae upande gani huezi kuona kimvuli cha pyramid hili,hesabu zilizotumika kujenga pyramid hilo ni pasua kichwa,
Wazungu walipokuja Africa hawakuchukua vibovu bali walichukua vitu vizuri vyote na kuhamishia kwao waliiba taaluma mbalimbali na kuzihamishia kwao na kuhakikisha wanapoteza ushahidi wa kua zilianzia afrika,kabla ya wazungu kuja Africa tulikua tumekamilika kwenye kila idara madaktari,wanajeshi,wabunifu wa kila aina wote hawa walikuja kuzolewa na kupelekwa utumwani kuwatumikia watu weupe walituachia majonzi na umasikini wakutosha ambao bado unatutesa mpaka leo
PYRAMID kubwa zaidi MISRI (Egypt) lilitumia matofali (majabali,mawe) 2,300,0000 (million mbili na laki tatu) na inakadiriwa kua kila tofali/jabali/jiwe lilikua na uzito wa tani 7, kwenye kilele cha pyramid hilo jiwe lililotumika kufunika juu kabisa lina uzito wa tani 50 mpaka leo wazungu wanajiuliza ni kina nani walilipandisha jiwe hilo na ilifanyika vipi jiwe la namna hiyo kupandishwa juu urefu wa futi zaidi ya 400 na binadamu jambo ambalo ni gumu kulielewa
Pia unaambiwa PYRAMID hilo lilijengwa kwa vipimo vya hali ya juu na ustadi mkubwa sana jambo ambalo linathibitisha kua taaluma ya uhandisi na hesabu imeanza kutumika miaka mingi sana kipindi hicho wazungu bado wana ng'aa macho mapangoni
Pande zote tatu za PYRAMID zipo sawa na unaambiwa huwezi kuona kimvuli cha pyramidi hata ukae upande gani hii inamaana kua hata jua likae upande gani huezi kuona kimvuli cha pyramid hili,hesabu zilizotumika kujenga pyramid hilo ni pasua kichwa,
Wazungu walipokuja Africa hawakuchukua vibovu bali walichukua vitu vizuri vyote na kuhamishia kwao waliiba taaluma mbalimbali na kuzihamishia kwao na kuhakikisha wanapoteza ushahidi wa kua zilianzia afrika,kabla ya wazungu kuja Africa tulikua tumekamilika kwenye kila idara madaktari,wanajeshi,wabunifu wa kila aina wote hawa walikuja kuzolewa na kupelekwa utumwani kuwatumikia watu weupe walituachia majonzi na umasikini wakutosha ambao bado unatutesa mpaka leo