Unavyoongea kama umeshapewa buku saba ya lumumbaHakuna maajabu hapa kwa maandamano ya cuf kufanyika. Taarifa za kiintelijensia huenda zimebaini hakutakuwa na lugha za uchochezi, kashfa kwa serikali na viongozi wastaafu na walioko madarakani au uvunjifu wa amani. Jeshi letu linafanya kazi kwa weledi wa hali ya juu na siku zote limekuwa makini kuwadhibiti wahuni wachache ambao hutaka kutumia maandamano kutimiza malengo yao ovu.
Kwani Mkuu ulikuwa hujui kuwa moja ya condition kubwa ya kuqualify kufanya kazi ndani ya serikali ya Chama Cha Majipu ni lazima ukubali uweke rehani ufahamu na taaluma yako pale mtaa wa Lumumba?Leo mtashuhudia maajabu ya serikali hii katika mji wa Dar es salaam
Maajabu yenyewe ni pale wanachama wa CUF wanaomuunga mkono LIPUMBA watakaporuhusiwa kufanya maandamano
Sasa mtajiuliza maandamano si yamepigwa marufuku mpaka matamasha ya mijadala mfano wa ACT umezuiwa na mikutano ya kisiasa pia iweje haya maandamano yaruhusiwe
Hapo ndo wanachama halisi wa CUF wanapaswa kujiuliza hawa watu wametumwa na nani? Kwanini wao wapewe ruhusa ya kufanya maandamano?
Hapa kazi tu
Ha ha ha duhh!! Siendeshwi na buku 7, wala mihemko ya kichama bali uhalisia wa mambo kadiri yanavyotokea. Nifuatilie, utanikubali tu.Unavyoongea kama umeshapewa buku saba ya lumumba
Mkuu viongoz wa siasa wababaishaji sana, kama Lipumba naona anatafuta maslahi yakeNchi ya kijuha **** usitegemee cha tofauti zaidi.
Mwendo wa ku'maintain status quo na aristocracy.
Huyu anayewaambia kila siku mumuombee: sijui mumuombee afanikiwe kwa nani kwa shetani au!!!!!
Noma sanaMkuu viongoz wa siasa wababaishaji sana, kama Lipumba naona anatafuta maslahi yake
Nchi ya kijuha **** usitegemee cha tofauti zaidi.
Mwendo wa ku'maintain status quo na aristocracy.
Huyu anayewaambia kila siku mumuombee: sijui mumuombee afanikiwe kwa nani kwa shetani au!!!!!