Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
We ushaambiwa kuna mkuu wa mkoa, mind you mkuu wa mkoa, Arusha huko, anakwepa kwenda kwenye mikutano kwa sababu hajui kiingereza.
Janga la kitaifa.
Huyu mwanafunzi ana IQ nzuri tena sana,tatizo ni lugha tu!angeambiwa aandike kwa kiswahili angeeleweka vizuri tu.
QN; EXPLAIN THE EFFECTS OF POPULATION GROWTH IN DEVELOPING COUNTRIES LIKE TANZANIA.
Population growth is the increase in population in a certain area.
Spread of diseases the peole was due to spread ofdiseases but yhe population was to contact high of the country.
Lack of social services the population was lack of social services people was it is producing of population in the country.
Lack of unemloyment the population if lack of unemployment the people was high of population of the region of the country.
NB; Huyu ni mwanafunzi wa form four niliyekutana naye mwaka jana, sikutaka hata kuendelea kuisoma hiyo essay yake. Kwakweli ilinisikitisha na machozi yalinitoka. Hivi mtoto kama huyu kwanini asipate Zero? Japo sijafuatilia matokeo yake, nina uhakika amezungusha...
QN; EXPLAIN THE EFFECTS OF POPULATION GROWTH IN DEVELOPING COUNTRIES LIKE TANZANIA.
Population growth is the increase in population in a certain area.
Spread of diseases the peole was due to spread ofdiseases but yhe population was to contact high of the country.
Lack of social services the population was lack of social services people was it is producing of population in the country.
Lack of unemloyment the population if lack of unemployment the people was high of population of the region of the country.
NB; Huyu ni mwanafunzi wa form four niliyekutana naye mwaka jana, sikutaka hata kuendelea kuisoma hiyo essay yake. Kwakweli ilinisikitisha na machozi yalinitoka. Hivi mtoto kama huyu kwanini asipate Zero? Japo sijafuatilia matokeo yake, nina uhakika amezungusha...
Sijui ndiyo mwanafunzi wako mkuu, lakini nachoweza kusema ni kuwa walimu wengi nao ni funika kombe mwanaharamu apite, kama wabunge vile. Tatizo hapo lipo wazi mtoto hajajisomea, hakuelewa lile somo na hajapata kitu, pamoja na kingeereza kuwa kibovu!!
yaleyale ya you took my book, tookn't you?We ushaambiwa kuna mkuu wa mkoa, mind you mkuu wa mkoa, Arusha huko, anakwepa kwenda kwenye mikutano kwa sababu hajui kiingereza.
Janga la kitaifa.