Maajabu ya soka la Tanzania


Kuufuatilia mpira wa Kibongo / Kitanzania unahitaji kidogo nyaya zako za Uwendawazimu Kichwani ziwe zimekaza hasa.
 
Hiyo hela ilirudi vipi? Fafanua.Klabu kupata hela zaidi ya hiyo haina maana kwamba Pogba asingesajiliwa wasingepata hela waliyopata!!!
Drogba alipoenda ligi za China kwa hela kubwa mauzo ya jezi yake tu ilirudisha ile hela waliyomnunua
 
Mleta mada unaufahamu mdogo sn ktk biashara hasa ktk soccer,."no research no right to speak"!
 
Milioni mia moja za mapene au za noti?
 
 
38Million? Man u tu kachukuwa 145 Million sasa sijui data umeitoa wapi. EPL kuna share nyingi wanaanza wote equal 39 halafu kuna facility fees hapo ina range 39 to 12 kwa position, kuna Merit payments nayo almost same range halafu kuna overseas TV hapo wote wanachukuwa sawa 39 Million kuna team jumla wanavuta mpaka 150 million hapo bado kuna seasons tickets na commercial partners wa team ni pesa ndefu. hiyo 39 Million uliuosema wewe ni kama basic salary tu.
 
kuongeza hapo ni kuwa kama team inakuwa kwenye Tv mara nyingi pesa inaongezeka ndio maana wakati City anachukuwa ubingwa dhidi ya Liver ya Rodgers still liver walichukuwa pesa ndefu kwa kuwa walikuwa live on Tv mechi nyingi na hii watu wa Tv wanatizama team gani inavutia audience.
 
Tatizo unakurupuka

EPL BINGWA HUCHUKUA .£38M BILA KUHUSISHA TV RIGHTS


SASA UBAKURUPUKA TU

MAN U ILIFIKA £149 M UKIJUMLISHA NA HAKI ZA MATANGAZO,
 
Tatizo unakurupuka

EPL BINGWA HUCHUKUA .£38M BILA KUHUSISHA TV RIGHTS


SASA UBAKURUPUKA TU

MAN U ILIFIKA £149 M UKIJUMLISHA NA HAKI ZA MATANGAZO,
Wewe na wewe angalia VPL tu sasa haki za matangazo sio revenue ya club au ni msaada huo? Team ina thamani ya Billion katika stock market wewe unaongelea Mil 39 wakati Rooney tu peke yake anavuta karibia mil 16. Nenda usome thamani ya EPL kila club ikiwa Sunderland tu wameshuka daraka wamechukua Mil 93 pound sio $.
 
Tatizo unakurupuka

EPL BINGWA HUCHUKUA .£38M BILA KUHUSISHA TV RIGHTS


SASA UBAKURUPUKA TU

MAN U ILIFIKA £149 M UKIJUMLISHA NA HAKI ZA MATANGAZO,
 

Attachments

  • Premier-League-TV-rights-money-distribution-final-infograph.jpg
    111.6 KB · Views: 22
Asante kwa kuweka sawa mkuu.
Kwa sababu hizi ndio maana nashindwa hata kutazama mpira ubanda, zamani kidogo washabiki wa soka walikuwa waelewa na wachambuzi... Pengine walikuwa ndio jamii yenye wehu na akili kwa wakati mmoja. Tangia mpira uingiliwe na watu waliobet na washabiki wa fasheni basi imekuwa kizungumkuti.
Mfano ni huu, mtu anahusisha hizo findings zake na 'Soka la Bongo', sijui amefuatilia sajili za Uingereza/Spain vs pesa anayolipwa bingwa? Maana angefuatilia hayo asingeleta huu ushuzi na kupoteza muda wetu adimu.
Ashanitengua funga...
 
Matangazo ya TV,mauzo ya jezi,gate collection ,wadhamini ndo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…