Maajabu ya soya nafaka

Maajabu ya soya nafaka

alysious B

New Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
2
Reaction score
1
Soya ni nafaka ambayo ikitumiwa vzur huleta afya nzuri na kuondosha magonjwa ya aina mbalimbali Faida chache za kutumia soya nafaka
-huleta kumbukumbu
-huondoa kolesto
-kuongeza king a mwilini
-huleta kinga ya kutopata saratani ya matiti na kizazi
-hutibu matatizo ya koma hedhi
-husaidia kwa watu wenye madonda ya tumbo,selimundu , presha na HIV,Saratani
BIDHAA ZITOKANAZO NA SOYA
_Maziwa
_mayonize
_soya sherk
_nyama
_majani ya chai
_scrub
373a72cc46f704ced5d81afca1a4288b.jpg

Kujua kutengeneza vitu hivi follow me in what's app 0713194713 kupata details zote
 
Soya ni nafaka ambayo ikitumiwa vzur huleta afya nzuri na kuondosha magonjwa ya aina mbalimbali Faida chache za kutumia soya nafaka
-huleta kumbukumbu
-huondoa kolesto
-kuongeza king a mwilini
-huleta kinga ya kutopata saratani ya matiti na kizazi
-hutibu matatizo ya koma hedhi
-husaidia kwa watu wenye madonda ya tumbo,selimundu , presha na HIV,Saratani
BIDHAA ZITOKANAZO NA SOYA
_Maziwa
_mayonize
_soya sherk
_nyama
_majani ya chai
_scrub
373a72cc46f704ced5d81afca1a4288b.jpg

Kujua kutengeneza vitu hivi follow me in what's app 0713194713 kupata details zote
Kwa gharama ya sh.1600/=/kg njoo nikuuzie tani 7 za soya nilizo vuna juzi hapa lundusi Songea.
 
Back
Top Bottom