Yaani Tanzania ni nchi ambayo kila kitu sasa ni fake
Maajabu ya TZ: Chaguzi fake, mikataba fake, mifumo fake, ripoti za Raisi fake na marafiki fake-machawa
Je kuna nchi Dunia hii watu wako fake kama Tanzania
1. Tuna mfumo wa Demokrasia ambao serikali ndiyo inaongoza kudidimiza!
2. Ripoti za Raisi kila siku kwa wananchi wakati huohuo yeye mwenyewe anawaambia hao wanaotoa ripoti huko ndani hazihitaji
3. Chunguzi za utekaji fake wakijua watekaji
4. 4R fake Mama ana agiza yeye mwenyewe yafanyike kinyume na 4r zake
5. Mikataba ya uwazi fake ambayo Mama mwenyewe anazuia wananchi wasijue.
Maajabu ya TZ: Chaguzi fake, mikataba fake, mifumo fake, ripoti za Raisi fake na marafiki fake-machawa
Je kuna nchi Dunia hii watu wako fake kama Tanzania
1. Tuna mfumo wa Demokrasia ambao serikali ndiyo inaongoza kudidimiza!
2. Ripoti za Raisi kila siku kwa wananchi wakati huohuo yeye mwenyewe anawaambia hao wanaotoa ripoti huko ndani hazihitaji
3. Chunguzi za utekaji fake wakijua watekaji
4. 4R fake Mama ana agiza yeye mwenyewe yafanyike kinyume na 4r zake
5. Mikataba ya uwazi fake ambayo Mama mwenyewe anazuia wananchi wasijue.