mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,465
1. Hembu fikirini waziri Mwijage katangaza ndani ya miaka 2 vimeongezeka zaidi ya viwanda elfu 3 wakati muda muu ninapoandika uzi huu hakuna umeme karibu nchi nzima, zaidi ya yote hakuna ajira
2. Hembu fikirini waziri mkuu kaenda na msafara bandarini kagundua magari hayajiliwa kodi. T.R.A wanakuja kusema baadaye yamelipiwa kodi na ndo maana yana kadi tatizo ni wao na TPA
3. Fikiri ndani ya uchaguzi mdogo wasimamizi wa upande mmoja wanapigwa na watu wasiojulukana na uchaguzi unaendelea na mshindi anatangazwa na mmoja aliyeshindwa Kati ya 43 anaomba radhi kwa watu kufanya demokrasia yao hata sielewi lengo la kuomba radhi
4.
5.
6.
2. Hembu fikirini waziri mkuu kaenda na msafara bandarini kagundua magari hayajiliwa kodi. T.R.A wanakuja kusema baadaye yamelipiwa kodi na ndo maana yana kadi tatizo ni wao na TPA
3. Fikiri ndani ya uchaguzi mdogo wasimamizi wa upande mmoja wanapigwa na watu wasiojulukana na uchaguzi unaendelea na mshindi anatangazwa na mmoja aliyeshindwa Kati ya 43 anaomba radhi kwa watu kufanya demokrasia yao hata sielewi lengo la kuomba radhi
4.
5.
6.