Tanzania ni nchi ya maajabu nchi yenye historia ilio tukuka. Kumbe miaka ya 1932 kundi kubwa la wa Europia Poland walikuja kupiga kambi Tanzania kama wakimbizi wakati huo ikiitwa Tanganyika.
Inasemekana kama sio sisi kuwatunza wanazi walitaka kuwaangamiza.
Hili ni historia ilio tukuka na maajabu sana. Inasemekana makazi yao na maisha yao yamebaki kuwa historia kule Tengeru.
Hili ni Taifa lenye kumbukizi za kushangaza sana na hii inadhirisha ule usemi sisi twaweza kuwa donar count
Inasemekana kama sio sisi kuwatunza wanazi walitaka kuwaangamiza.
Hili ni historia ilio tukuka na maajabu sana. Inasemekana makazi yao na maisha yao yamebaki kuwa historia kule Tengeru.
Hili ni Taifa lenye kumbukizi za kushangaza sana na hii inadhirisha ule usemi sisi twaweza kuwa donar count