Maajabu ya vazi la Nabii Suguye Jumapili hii

Maajabu ya vazi la Nabii Suguye Jumapili hii

Pascal_TZA

Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
27
Reaction score
76
Mtumishi wa Mungu Prophet Nicolaus Suguye Jumapili hii tarehe 16/3/2025 kwenye UZINDUZI WA WIKI YA OPERATION YA KUVUNJA, KUBOMOA NA KUHARIBU MALANGO YA KUZIMU NDANI YA FAMILIA ambapo Nabii Suguye atawavisha Waumini VAZI lake lenye MAAJABU YA KINABII.

“Biblia inasema kwenye Kitabu cha Mathayo 16:18 "Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda." Suguye

“Tarajia malango ya kuzimu yanayotesa Familia kwenye Afya yako, Uzak wako, Uchumi wako, Elimu, Ndoa Na Mahusiani yako katika kazi na bishara zako kuvunjwa kubolewa na kuharibiwa kabisa ndani ya Kanisa la WRM lililopo Kivule Matembele ya pili” Suguye

Ibada hii ya kupokea muujiza wako Jumapili itaanza Saa 12:00 Asubuhi hadi Saa 6 mchana, Ibada ya Pili itaanza saa 8:00 Mchana na kuendelea. Nabii Suguye anakukarinisha uwalete wagonjwa wote wenye Changamoto mbalimbaliMungu atawaponya.

 
Anamuiga kiboko ya wachawi

USSR
 
Dah! lwa hali hii acha wakoloni waendelee kututawala tu hamna namna
 
Mtumishi wa Mungu Prophet Nicolaus Suguye Jumapili hii tarehe 16/3/2025 kwenye UZINDUZI WA WIKI YA OPERATION YA KUVUNJA, KUBOMOA NA KUHARIBU MALANGO YA KUZIMU NDANI YA FAMILIA ambapo Nabii Suguye atawavisha Waumini VAZI lake lenye MAAJABU YA KINABII.

“Biblia inasema kwenye Kitabu cha Mathayo 16:18 "Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda." Suguye

“Tarajia malango ya kuzimu yanayotesa Familia kwenye Afya yako, Uzak wako, Uchumi wako, Elimu, Ndoa Na Mahusiani yako katika kazi na bishara zako kuvunjwa kubolewa na kuharibiwa kabisa ndani ya Kanisa la WRM lililopo Kivule Matembele ya pili” Suguye

Ibada hii ya kupokea muujiza wako Jumapili itaanza Saa 12:00 Asubuhi hadi Saa 6 mchana, Ibada ya Pili itaanza saa 8:00 Mchana na kuendelea. Nabii Suguye anakukarinisha uwalete wagonjwa wote wenye Changamoto mbalimbaliMungu atawaponya.

 
Tuweni tu wakweli,
Uislamu Unaweza kuwa na kasoro
ukristo wa hivi hapana kwa kweli.
Ebu ona hawa Mazombi si mazombie,
vichaa si vichaa, mifugo sio mifugo

Hata baada ya maombi na maombezi,
Miujiza na upako wa miaka nenda rudi.
Bado mazombie ni maskini wa akili, mwili na roho.
 
Mtumishi wa Mungu Prophet Nicolaus Suguye Jumapili hii tarehe 16/3/2025 kwenye UZINDUZI WA WIKI YA OPERATION YA KUVUNJA, KUBOMOA NA KUHARIBU MALANGO YA KUZIMU NDANI YA FAMILIA ambapo Nabii Suguye atawavisha Waumini VAZI lake lenye MAAJABU YA KINABII.

“Biblia inasema kwenye Kitabu cha Mathayo 16:18 "Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda." Suguye

“Tarajia malango ya kuzimu yanayotesa Familia kwenye Afya yako, Uzak wako, Uchumi wako, Elimu, Ndoa Na Mahusiani yako katika kazi na bishara zako kuvunjwa kubolewa na kuharibiwa kabisa ndani ya Kanisa la WRM lililopo Kivule Matembele ya pili” Suguye

Ibada hii ya kupokea muujiza wako Jumapili itaanza Saa 12:00 Asubuhi hadi Saa 6 mchana, Ibada ya Pili itaanza saa 8:00 Mchana na kuendelea. Nabii Suguye anakukarinisha uwalete wagonjwa wote wenye Changamoto mbalimbaliMungu atawaponya.

Unaongelea huyu tapeli wa neno?!
 
Huwezi amini kuna wajinga watamiminika huko kama kweli vile kumbe mazingaombwe
 
hiz
Mtumishi wa Mungu Prophet Nicolaus Suguye Jumapili hii tarehe 16/3/2025 kwenye UZINDUZI WA WIKI YA OPERATION YA KUVUNJA, KUBOMOA NA KUHARIBU MALANGO YA KUZIMU NDANI YA FAMILIA ambapo Nabii Suguye atawavisha Waumini VAZI lake lenye MAAJABU YA KINABII.

“Biblia inasema kwenye Kitabu cha Mathayo 16:18 "Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda." Suguye

“Tarajia malango ya kuzimu yanayotesa Familia kwenye Afya yako, Uzak wako, Uchumi wako, Elimu, Ndoa Na Mahusiani yako katika kazi na bishara zako kuvunjwa kubolewa na kuharibiwa kabisa ndani ya Kanisa la WRM lililopo Kivule Matembele ya pili” Suguye

Ibada hii ya kupokea muujiza wako Jumapili itaanza Saa 12:00 Asubuhi hadi Saa 6 mchana, Ibada ya Pili itaanza saa 8:00 Mchana na kuendelea. Nabii Suguye anakukarinisha uwalete wagonjwa wote wenye Changamoto mbalimbaliMungu atawaponya.

hizo zote ni mbwembwe tu za kufanikisha utapeli.
 
Back
Top Bottom