Maajabu ya wanyama

Maajabu ya wanyama

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Wakuu tujuzane na kuhabarishana hapa maajabu ya wanyama mbalimbali.

Kwanini nyoka ana ndimi mbili? Nyoka na wanyama kama kenge huwa na ndimi zilizogawanyika. Ndimi zile huwasaidia kujua lindo lilipo. Wanyama hawa hutumia ndimi kugundua kemikali zilizopo hewani ambazo huonyesha uwepo wa windo. Wakisense kemikali nyingi kwenye ulimi wa kushoto basi wanajua lindo lipo kushoto. Wakisense nyingi kulia basi lipo kulia. Wanatoa ulimi na kuuingiza ndani ili kusafisha kemikali za zamani na kuwa fresh kusense mpya. Kumbe ndimi mbili za nyoka siyo sababu ya unoko!!.

images-18.jpg



Kwanini bata wakizaliwa tu wanaanza kumfuata mama yao?. Hii kitu inaitwa imprinting. Bata wanapototolewa tu kiumbe cha kwanza kukiona basi wanajua ni jamii yao na kuanza kukifuata. Kwa sababu wakitotolewa kiumbe cha kwanza kukiona huwa ni mama bata basi ndiyo maana hufuata mama yao. Lakini ikitokea wametotolewa na kiumbe cha kwanza kukiona ni binadamu au kiumbe kingine badi hufuata hicho. Hata mama bata akitokea baadaye hawawezi kumfuata. Wanakuwa wanajiaminisha kichwani kuwa wao ni binadamu. Hata binadamu huwa tunatabia ya kuamini sana vitu vya kwanza kuanza kutumia.
766aaa288f12a6460bb26a0ab7955e08.jpg
images-11.jpg
 
Na kweli wana ndimi mbili mkuu..

Manaake kwa kupitia mdomo wa kuongelea na kulia chakula wanaweza kui suck dudu.
Na kwa kupitia mdomo wa chini pia wana suck dudu..

Hawa nyoka hawa wameumbwa kwa aina yake,
 
Na kweli wana ndimi mbili mkuu..

Manaake kwa kupitia mdomo wa kuongelea na kulia chakula wanaweza kui suck dudu.
Na kwa kupitia mdomo wa chini pia wana suck dudu..

Hawa nyoka hawa wameumbwa kwa aina yake,
Mkuu kuna wanyama wengine nafikiri unawazungumzia.
 
Wakuu tujuzane na kuhabarishana hapa maajabu ya wanyama mbalimbali.

Kwanini nyoka ana ndimi mbili? Nyoka na wanyama kama kenge huwa na ndimi zilizogawanyika. Ndimi zile huwasaidia kujua lindo lilipo. Wanyama hawa hutumia ndimi kugundua kemikali zilizopo hewani ambazo huonyesha uwepo wa windo. Wakisense kemikali nyingi kwenye ulimi wa kushoto basi wanajua lindo lipo kushoto. Wakisense nyingi kulia basi lipo kulia. Wanatoa ulimi na kuuingiza ndani ili kusafisha kemikali za zamani na kuwa fresh kusense mpya. Kumbe ndimi mbili za nyoka siyo sababu ya unoko!!.

View attachment 984384


Kwanini bata wakizaliwa tu wanaanza kumfuata mama yao?. Hii kitu inaitwa imprinting. Bata wanapototolewa tu kiumbe cha kwanza kukiona basi wanajua ni jamii yao na kuanza kukifuata. Kwa sababu wakitotolewa kiumbe cha kwanza kukiona huwa ni mama bata basi ndiyo maana hufuata mama yao. Lakini ikitokea wametotolewa na kiumbe cha kwanza kukiona ni binadamu au kiumbe kingine badi hufuata hicho. Hata mama bata akitokea baadaye hawawezi kumfuata. Wanakuwa wanajiaminisha kichwani kuwa wao ni binadamu. Hata binadamu huwa tunatabia ya kuamini sana vitu vya kwanza kuanza kutumia.
View attachment 984405View attachment 984406
Mkuu na ninaomba kuhusu hii hapa chini
 

Attachments

  • Snake with twoo head.jpg
    Snake with twoo head.jpg
    19.7 KB · Views: 35
Konokono ni kiumbe kisichokua na mfupa hata mmoja na ndio kiumbe pekee chenye jinsia mbili "Bisexual"

Yaani atakayewahi kumpanda mwenzake ndiye atakaye shika mimba.
Na ile speed yao naona ni adaptation ya kuweza kuzaliana. Wakati wote yuko tayari. Hao wanyama wanaitwa hermaphrodite.
 
huwa wanasema Ulimi ule ndio kama pua yao.
Ila mkuu nashangaa kuna pori flani nilikuwa naenda nikikaa mahala, nashangaa Kenge ananidana na limjusi moja kubwa sana.
Nikaona nihamie kwingine, Nikaona lile limjusi linakatiza likielekea upande wangu, hadi likanikaribia, Baada ya kumfukuza, haikuchukua Muda namuona kenge naye anaelekea upande wangu, akaja ananinyemelea hadi karibu, nikamtimua.

Nikabaki najiuliza
 
Mbwa mwitu nawakubali sana. Hawa jamaa huwa wanawinda kwa pamoja kigroup. Inasemekana kabla ya kwenda kuwinda hupiga kura kama wakawinde au laa. Wanafanya hivyo kwa kupiga chafya. Wanyama wengi wakiitikia chafya basi wanaamsha kwenda kuwinda. Wakisha winda watoto wanaanza kwanza kula ndiyo wakubwa hufuata.

PWW-coming-soon-1024x683.jpg
 
Back
Top Bottom