Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Je wajua ?!
Imebaki timu moja pekee katika timu (16) ambayo haijapoteza dhidi ya Yanga SC msimu huu mpaka sasa !!
[emoji735] Mbeya city
[emoji736] Simba sports club - x 1
[emoji736] Namungo fc - x 1
[emoji736] Azam fc - x 2
[emoji736] Geita gold - x 3
[emoji736] Kagera sugar - x 2
[emoji736] Polisi Tanzania - x 1
[emoji736] KMC football club - x 2
[emoji736] Dodoma jiji - x 1
[emoji736] Mtibwa sugar - x 1
[emoji736] Biashara United - x 2
[emoji736] Ruvu shooting - x 1
[emoji736] Coastal Union - x 1
[emoji736] Tanzania Prisons - x 1
[emoji736] Mbeya kwanza - x 1
.
.
Je wajua timu tano walizoambiwa Yanga na baadhi ya wachambuzi pamoja na Rage kuwa watapoteza mechi zimeisha ?!
[emoji736] 1 - 0 Geita gold
[emoji736] 2 - 0 KMC football club
[emoji736] 2 - 1 Azam fc
[emoji736] 2 - 1 Namungo fc
[emoji1666] 0 - 0 Simba sc
.
.
Je wajua kuwa Mayele hajazifunga timu (3) pekee kati ya timu (16) ?
[emoji735] Polisi Tanzania ([emoji457])
[emoji735] Ruvu shooting
[emoji735] Tanzania Prisons
.
.
Je wajua Mayele hajawahi kukaa mechi tatu bila kufunga bao ligi kuu ?!
.
.
Je Wajua Mayele katika mechi (7) za mwisho ligi kuu hajafunga bao kwenye Mchezo mmoja pekee ?!
[emoji460] Mtibwa sugar
[emoji460] Kagera sugar
[emoji460] Geita gold
[emoji460] KMC football club
[emoji460] Azam fc
[emoji460] Namungo fc
[emoji735] Simba sc
.
Je wajua ?!
Imebaki timu moja pekee katika timu (16) ambayo haijapoteza dhidi ya Yanga SC msimu huu mpaka sasa !!
[emoji735] Mbeya city
[emoji736] Simba sports club - x 1
[emoji736] Namungo fc - x 1
[emoji736] Azam fc - x 2
[emoji736] Geita gold - x 3
[emoji736] Kagera sugar - x 2
[emoji736] Polisi Tanzania - x 1
[emoji736] KMC football club - x 2
[emoji736] Dodoma jiji - x 1
[emoji736] Mtibwa sugar - x 1
[emoji736] Biashara United - x 2
[emoji736] Ruvu shooting - x 1
[emoji736] Coastal Union - x 1
[emoji736] Tanzania Prisons - x 1
[emoji736] Mbeya kwanza - x 1
.
.
Je wajua timu tano walizoambiwa Yanga na baadhi ya wachambuzi pamoja na Rage kuwa watapoteza mechi zimeisha ?!
[emoji736] 1 - 0 Geita gold
[emoji736] 2 - 0 KMC football club
[emoji736] 2 - 1 Azam fc
[emoji736] 2 - 1 Namungo fc
[emoji1666] 0 - 0 Simba sc
.
.
Je wajua kuwa Mayele hajazifunga timu (3) pekee kati ya timu (16) ?
[emoji735] Polisi Tanzania ([emoji457])
[emoji735] Ruvu shooting
[emoji735] Tanzania Prisons
.
.
Je wajua Mayele hajawahi kukaa mechi tatu bila kufunga bao ligi kuu ?!
.
.
Je Wajua Mayele katika mechi (7) za mwisho ligi kuu hajafunga bao kwenye Mchezo mmoja pekee ?!
[emoji460] Mtibwa sugar
[emoji460] Kagera sugar
[emoji460] Geita gold
[emoji460] KMC football club
[emoji460] Azam fc
[emoji460] Namungo fc
[emoji735] Simba sc
.
Je wajua ?!