Kwanini hawaulizwi? Wameingiaje nchini?Utani pembeni, hivi haya majitu ni akina nani na wana nia gani maana ghafla tunaona wazungu wanakatiza kitaa huku wana mandevu na kuvalia kiajabu ajabu, wanasababisha taharuki inafaa wahojiwe.
Hehe usiwaze bro hawa ni kaka zetu ukifatilia sana utagundua sisi Wakenya ni Wayahudi weusi. Wakaribishwe tu, ni fursa ya kujitangaza pia!Utani pembeni, hivi haya majitu ni akina nani na wana nia gani maana ghafla tunaona wazungu wanakatiza kitaa huku wana mandevu na kuvalia kiajabu ajabu, wanasababisha taharuki inafaa wahojiwe.
Kunya tu mkuuNimecheka nusu kunya [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
~Cmb
Ujinga kiwango cha PhD hivi kinachowashtua ninini? Hamjawahi kuona watu wenye ndevu?Utani pembeni, hivi haya majitu ni akina nani na wana nia gani maana ghafla tunaona wazungu wanakatiza kitaa huku wana mandevu na kuvalia kiajabu ajabu, wanasababisha taharuki inafaa wahojiwe.