Kakke JF-Expert Member Joined Dec 4, 2010 Posts 1,883 Reaction score 1,482 Sep 9, 2018 Thread starter #2 Wazanzibar wako ngagari katika Muungano wakulazimiswa,Muungano hivi sasa hauna turufu tena kwa Wazanzibar Unaishi kwa nguvu za Jeshi tu . Ndani ya nyoyo za Wazanzibar haumo tena na ndio maana ccm haitakiwi Zanzibar na wazanzibar . Ccm ya Zanzibar ni Seif iddi na ndugu zake Lipumba .
Wazanzibar wako ngagari katika Muungano wakulazimiswa,Muungano hivi sasa hauna turufu tena kwa Wazanzibar Unaishi kwa nguvu za Jeshi tu . Ndani ya nyoyo za Wazanzibar haumo tena na ndio maana ccm haitakiwi Zanzibar na wazanzibar . Ccm ya Zanzibar ni Seif iddi na ndugu zake Lipumba .
BUBERWA D. JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 2,293 Reaction score 1,170 Sep 13, 2018 #3 kwahiyo?
H Hubert Henry Lyatuu Member Joined Jul 27, 2018 Posts 21 Reaction score 8 Sep 16, 2018 #4 BUBERWA D. said: kwahiyo? Click to expand... huo ndio ukweli