Maalim Seif asema Lipumba atashindwa kama Mapalala

Wazanzibar wako ngagari katika Muungano wakulazimiswa,Muungano hivi sasa hauna turufu tena kwa Wazanzibar Unaishi kwa nguvu za Jeshi tu .

Ndani ya nyoyo za Wazanzibar haumo tena na ndio maana ccm haitakiwi Zanzibar na wazanzibar .

Ccm ya Zanzibar ni Seif iddi na ndugu zake Lipumba .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…