Maalim Seif awaponza viongozi wa Jeshi la Polisi Pemba, yaamriwa wavuliwe vyeo

Tindo, ambaye halijui ulilosema naamini atakuwa amejitoa ufahamu na kutegemea ubongo wa polepole kufikiria, namkumbuka Polepole alipokuwa mwanaharakati, ninayo clip yake moja alivyosema, "sanduku la kupigia Kura likiachwa Huru, ccm ijiandae kuondoka madarakani", leo hii amekuwa kama chizi fulani hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…