Uchaguzi 2020 Maalim Seif: CCM imeweka mikakati yake ya kumtafutia ushindi Dkt. John Magufuli, Tundu Lissu aje nimpe mikakati ya kushinda kwenye Uchaguzi

Maalim kaanza 2015 kulalamika kuporwa ushindi?

2016 alitwambia atakabidhiwa nchi yake baada ya miezi 3,vipi alikabidhiwa?
 
Maalimu seif safari hii, anashindwa kwa tofauti kubwa kuwahi kutokea katika historia ya uchaguzi zanzibar. Kijana mchapakazi Hussein Ally Hassan Mwinyi ndiye chaguo la kizazi kipya
Sief anafikiri bado yuko 60s ambako kiazazi chake ni kile cha kupinga muungano!

Sasa hivi kuna kizazi kipya kabisa kilichozaliwa ndani ya muungano! Ambao wako huru kuja bara kununua ardhi na kuwekeza kwenye biashara watakavyo sasa wakimtafakari Seif hawamwelewi kabisa.
 
Hivi Lisi anakura za kuibiwa kweli?

Mtu anaepata si zaidi ya 20% unamuibia kitu gani hapo?
 
Hata Goliathi alipigwa na mtoto.
 
Maalim si wa kubezwa 2015 alikaba kila kona hadi CCM wakasema uchaguzi haukuwa huru na haki wakati tume yao, jeshi lao, usalama wa taifa wao, vyombo vya habari vyao halafu bado walilia mchana kweupe uchaguzi haukuwa huru. Wakalazimisha kuufuta kitu ambacho hakijawahi kutokea tangia dunia iumbwe.
Sasa wewe mdharau tu ila Zanzibar CCM hawana amani kabisa.
 
Wajua balbu ya umeme ilijaribiwa mara ngapi mpaka ikawaka? Mataga mnashida gani?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Seif hajawahi kushindwa uchaguzi wowote Zanzibar na hata wewe ni shahidi.

Hata huku Tanganyika ni vigumu sana kujua ukweli kuhusu kile kinachodaiwa kuwa ushindi wa ccm kwa kuangalia hii tume yao inavyosimamia hizi chaguzi. Inatia shaka sana.
 
Ni enzi hizo si wakati huu! Seif kachoka na kizazi chake pia kimechoka..

Kizazi kinachopiga kura zanzibar wakati huu ni kile kilichozaliwa ndani ya Muungano
 
Hiyo mikakati ya ushindi kwa nini Maalim Seif asimpe mgombea wake Membe? Kwani ni kulikoni ACT si kuna mgombea Urasi wao?
 
Kachero mbobezi ndo Kwisha vile..
Mlitegemea mteremko sasa wapinzani wameamua kufanya mambo kiakili kwelikweli mnasota wachoma nyavu nyie lisu kasema anatulipa bomoabomoa vyeti feki hawa wamefundisha watu wakada mbalimbali madactor waalimu mahakimu watendaji leounawafukuza kwa aibu
 
Ccm hawana kipigo cha kumpiga mtu akalia, bali wanawizi tu ndio wanaotumia, sasa safari hii mtajamba cheche na mtakunya moto.
 
Ajiulize pia kwanini Jiwe kaenda mapimzikoni mara tu chopa ilipozinduliwa na chama chake?? Ukweli ulio wazi hivi sasa Uongozi wa juu wa ccm unahaha kwa kila namna kumpatia Mgombea wao wa Urais ahueni.
 
😳😳 Maalim Seif huyuhuyu anaepigwa kila uchaguzi?
 
Yeye mwenyewe ameshindwa kutumia hizo mbinu halafu anataka kumpa mwenzake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…