Maalim kaanza 2015 kulalamika kuporwa ushindi?Tatizo hujui kilichopo. Watu wa deep state wanaelewa kila kitu. Kwanza fungua fumbo LA mzimu wa 2015 Kule Zanzibar na kilichojiri. Hivi unaamini Maalim ashiriki tens uchaguzi kwa mazingira Yale Yale? Jiulize kunani? Think big. Kichwa unaambiwa kinatoka ACT.
Lissu nenda kwa Maalim ukachukue mbinu, nenda.
Sief anafikiri bado yuko 60s ambako kiazazi chake ni kile cha kupinga muungano!Maalimu seif safari hii, anashindwa kwa tofauti kubwa kuwahi kutokea katika historia ya uchaguzi zanzibar. Kijana mchapakazi Hussein Ally Hassan Mwinyi ndiye chaguo la kizazi kipya
Hivi Lisi anakura za kuibiwa kweli?Tundu Lissu kura tunakupigia.. na tutazilinda. Mikakati hiyo ya hawa jamaa ya wizi please ujiandae namna ya kukabiliana nayo. Kama kuna ambacho wananchi tunatakiwa kufanya cha ziada tujulishe. Sasa hivi enough is enough. Hatutaki tena kuongozwa kwa masimango na dhulma. Tunakutaka wewe.
Hata Goliathi alipigwa na mtoto.Mgombea aliyewahi kushindwa na CCM hiyohiyo mara tano, Leo amekuwa fundi wa kuwapa Mbinu wengine kushughurika na CCM hiyohiyo.
Hivi, mpaka muda huu, bado kunamjinga anaamini CCM itashindwa mwaka huu, Walishindwa kuing'oa 2015 wakiwa na ukawa wenye Vyama zaidi ya vinne na wanasiasa wakongwe na maarufu na wenye uzoefu wa kisiasa mara tatu zaidi yao, waje kuweza leo?
Ujinga kwelikweli!!
Maalim si wa kubezwa 2015 alikaba kila kona hadi CCM wakasema uchaguzi haukuwa huru na haki wakati tume yao, jeshi lao, usalama wa taifa wao, vyombo vya habari vyao halafu bado walilia mchana kweupe uchaguzi haukuwa huru. Wakalazimisha kuufuta kitu ambacho hakijawahi kutokea tangia dunia iumbwe.Sief anafikiri bado yuko 60s ambako kiazazi chake ni kile cha kupinga muungano!
Sasa hivi kuna kizazi kipya kabisa kilichozaliwa ndani ya muungano! Ambao wako huru kuja bara kununua ardhi na kuwekeza kwenye biashara watakavyo sasa wakimtafakari Seif hawamwelewi kabisa.
Wajua balbu ya umeme ilijaribiwa mara ngapi mpaka ikawaka? Mataga mnashida gani?Mgombea aliyewahi kushindwa na CCM hiyohiyo mara tano, Leo amekuwa fundi wa kuwapa Mbinu wengine kushughurika na CCM hiyohiyo.
Hivi, mpaka muda huu, bado kunamjinga anaamini CCM itashindwa mwaka huu, Walishindwa kuing'oa 2015 wakiwa na ukawa wenye Vyama zaidi ya vinne na wanasiasa wakongwe na maarufu na wenye uzoefu wa kisiasa mara tatu zaidi yao, waje kuweza leo?
Ujinga kwelikweli!!
Seif hajawahi kushindwa uchaguzi wowote Zanzibar na hata wewe ni shahidi.Mgombea aliyewahi kushindwa na CCM hiyohiyo mara tano, Leo amekuwa fundi wa kuwapa Mbinu wengine kushughurika na CCM hiyohiyo.
Hivi, mpaka muda huu, bado kunamjinga anaamini CCM itashindwa mwaka huu, Walishindwa kuing'oa 2015 wakiwa na ukawa wenye Vyama zaidi ya vinne na wanasiasa wakongwe na maarufu na wenye uzoefu wa kisiasa mara tatu zaidi yao, waje kuweza leo?
Ujinga kwelikweli!!
Ni enzi hizo si wakati huu! Seif kachoka na kizazi chake pia kimechoka..Maalim si wa kubezwa 2015 alikaba kila kona hadi CCM wakasema uchaguzi haukuwa huru na haki wakati tume yao, jeshi lao, usalama wa taifa wao, vyombo vya habari vyao halafu bado walilia mchana kweupe uchaguzi haukuwa huru. Wakalazimisha kuufuta kitu ambacho hakijawahi kutokea tangia dunia iumbwe.
Sasa wewe mdharau tu ila Zanzibar CCM hawana amani kabisa.
Hiyo mikakati ya ushindi kwa nini Maalim Seif asimpe mgombea wake Membe? Kwani ni kulikoni ACT si kuna mgombea Urasi wao?MAALIM Seif Sharif Hamad, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo anataka kukutana na Tundu Lissu, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema ili ampe mikakati ya ushindi katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020.
Maalim Seif ambaye ni Mwenyekiti chama hicho ametoa kauli hiyo jana Jumanne tarehe 22 Septemba 2020 katika mkutano wake na timu za ushindi za mikoa na majimbo ACT-Wazaendo za Unguja.
βKule bara kuna mikakati yao yote nimeshaambiwa na mimi nataka nikutane na Lissu nimpe mikakati hiyo na nimwambie akiweza kuzuia mikakati hiyo wamekwisha hawa,β alisema Maalim Seif.
Kuhusu uchaguzi huo, Maalim Seif aliswma mpinzani wake wa karibu Dk. Hussein Ali Mwinyi, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM anapaswa kujiandaa kushindwa huku akimtaka Dk. Magufuli kukusanya virago vyake kwa maelezo kwamba hawatashinda katika Uchaguzi Mkuu huo.
βMara hii rafiki yangu Magufuli ajiandae kufunga Virago vyake na Hussein Mwinyi akikubali ajiandae kua Makamu wangu wa Kwanza wa Rais. Mara hii kichwa lazima kitoke ACT-Wazalendo,β alisema Maalim Seif.
Hivi karibuni, Lissu akiwa Zanzibar alitangaza kumuunga mkono Maalim Seif kwenye mbio za urais huku Maalim Seif naye ameweka wazi kumuunga mkono Lissu. Chadema imesimamisha mgombea urais wa Zanzibar, Said Issan Mohamed ambaye Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemteua kugombea urais.
Pia, ACT-Wazalendo imemsimamisha Bernard Membe, kugombea urais wa Tanzania na tayari amekwisha zindua kampeni zake za urais mkoani Lindi ingawa kwa sasa haendelei na kampeni.
Jana Jumanne, Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe akihutubia mkutano wa kampeni wa mgombea Ubunge wa Tabora Mjini kupitia chama hicho, Msafiri Mtemelwa alisema, mazungumzo ya kushirikiana yamekamilika.
Zitto alisema, mazungumzo ya kusimamisha mgombea mmoja wa nafasi ya urais, kuachiana majimbo na kata nayo yamenalizika na tarehe 3 Oktoba 2020 katika mkutano wa kampeni
Mlitegemea mteremko sasa wapinzani wameamua kufanya mambo kiakili kwelikweli mnasota wachoma nyavu nyie lisu kasema anatulipa bomoabomoa vyeti feki hawa wamefundisha watu wakada mbalimbali madactor waalimu mahakimu watendaji leounawafukuza kwa aibuKachero mbobezi ndo Kwisha vile..
Sipo single mugah di mathewMama D upo single nioe Ccm moja?
Jisemee wewe,Shikamoo babu Tunakuheshimu sana
Haaaa Mimi nataka lazima awe CcmSipo single mugah di mathew
Kupata mke ngoja nitakuelekeza kwa dada mmoja pale kawe kama hutojali
Ajiulize pia kwanini Jiwe kaenda mapimzikoni mara tu chopa ilipozinduliwa na chama chake?? Ukweli ulio wazi hivi sasa Uongozi wa juu wa ccm unahaha kwa kila namna kumpatia Mgombea wao wa Urais ahueni.maalim seif ni sayari nyengine acha mazoea mara hii hali yenu ni ngumu zaidi pande zote, jiulize swali 1 tu moyoni mwako, kwanini maalim seif ameijua mikakati ya jiwe kupewa ushindi mapema hivi? ni wazi huko juu kumeoza wachawi wanaomtafuna jiwe ni wengi ambao utawaona bega kwa bega pamoja naye lakini nje ya hapo ni nyoka.
Halafu wewe yale majani ya Arusha acheniπππππHaaaa Mimi nataka lazima awe Ccm
Ila sio mbaya ukinipa connection ya mnyarwanda wa segerea