Elections 2010 Maalim Seif (CUF) ahitaji kuapishwa?

Mo-TOWN

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2010
Posts
1,721
Reaction score
515
Nimeshangaa kuona Maalim Seif hakuapishwa jana. Nilidhani kuwa yeye kama makamu wa raisi ktk serikali ya umoja wa kitaifa alitakiwa kula kiapo. Naomba mnifahamishe wenye kulifahamu swali hili.
 
He's busy depositing the millions of dollars that CCM is throwing his way, once he's done he'll get back to his act - I mean job.
 
Mkuu wa serikali ya Zanzibar ni mmoja naye ni Dr. Shein aliye hapishwa jana kushika madaraka hayo. Seif kama makamu wa kwanza wa rais ni msauidizi mkuu wa Shein. Katika hali hiyo atamwapisha yeye wakati ukifika.
 
Hiyo inaitwa 'if you fail to conquer your enemy, join him/ her'. That is weakness, he was supposed to fight for the right till he dies!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…