Elections 2010 Maalum: Kwa wale bado ni vipofu, wasioona mbele wala nyuma, walioamua kuichagua CCM

MwanaHaki

R I P
Joined
Oct 17, 2006
Posts
2,401
Reaction score
707
CCM inakiuka miongozo ya katiba yake, ikiwa ni pamoja na mwongozo wa Azimio la Arusha na Siasa ya TANU juu ya Ujamaa na Kujitegemea, kama ifuatavyo:

MISAADA NA MIKOPO
VITAHATARISHA UHURU WETU

Imetoka: http:www.ccmtz.org/nyaraka/azimiolaarusha.pdf

Bado mtaipa CCM kura zenu, wakati asilimia takriban 40 ya Bajeti ya Serikali Kuu ni mikopo na misaada kutoka nje ya nchi, mikopo ambayo inabebeshwa Watanzania ambao HAWANUFAIKI NAYO, jambo ambalo LINAWAUMIZA?

-> Mwana wa Haki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…