Rangi ya chhhhp na braaaaaa inategemea na mapenzi au utashi wa mtu.
ila kiukweli wadada wengi twapenda white colour ili kumwonyesha mpenzi kiwango cha usafi.
LOL
Halaf pia mdada msafi hata akiwa katk mambo ye2 ya mwezi humkuti kakuvalia black kama kweli anamaanisha usafi maana huo ndo muda wa kudhihirisha that im real msafi.
Ukipiga kitu black kipind cha mwandamo wa mwezi hata jamaa atahisi hujui kufua vizuri sooooooooooo........
NI MTAZAMO TUUUUUUUU JAMANI WANA JAMVI.
mapenzi yangu
Rangi ya chhhhp na braaaaaa inategemea na mapenzi au utashi wa mtu.
ila kiukweli wadada wengi twapenda white colour ili kumwonyesha mpenzi kiwango cha usafi.
LOL
Halaf pia mdada msafi hata akiwa katk mambo ye2 ya mwezi humkuti kakuvalia black kama kweli anamaanisha usafi maana huo ndo muda wa kudhihirisha that im real msafi.
Ukipiga kitu black kipind cha mwandamo wa mwezi hata jamaa atahisi hujui kufua vizuri sooooooooooo........
NI MTAZAMO TUUUUUUUU JAMANI WANA JAMVI.
mapenzi yangu
Marahaba Ngoswe!
kwanza jina lako linanikumbusha mbali sana dia. Ngoswe 'PENZI KITOVU CHA UZEMBE' jamani hadi raha.
Turudi kwenye mada, rangi ya chupi na blazia ni utashi wa mtu, lakini kiukweli ukimechisha inapendeza zaidi na kuleta hamasa katika mapenzi, mfano, ukivaa chupi, skin tight na blazia inavutia saaaaaaaaana kwa kweli, ila ukivaa chupi nyekundu, skin tight nyeupe, blazia nyeusi havina mvuto, ni kama uchafu fulani vile
usiogope kwani uzoefu unatuambia hapa janvini topic zote zinapitiwa na kuchangiwa na watu wa jinsia zote hata kama ukispecify jinsia,.....wewe jimwaege tu -------aaaaaaaaaaaah! hata mm nilikua napita tu. am sorry