Maalumu kwa akina dada/ wanawake tu.........!


Umesomeka vizuri sana mkuu, ASANTE SANA
 

...bora yako wewe vivimama kwakuwa muwazi hapa lol........
 
Marahaba Ngoswe!
kwanza jina lako linanikumbusha mbali sana dia. Ngoswe 'PENZI KITOVU CHA UZEMBE' jamani hadi raha.
Turudi kwenye mada, rangi ya chupi na blazia ni utashi wa mtu, lakini kiukweli ukimechisha inapendeza zaidi na kuleta hamasa katika mapenzi, mfano, ukivaa chupi, skin tight na blazia inavutia saaaaaaaaana kwa kweli, ila ukivaa chupi nyekundu, skin tight nyeupe, blazia nyeusi havina mvuto, ni kama uchafu fulani vile
 

Dah kumbe nawe tulikuwa wote mle darasani kwetu Form IIIA, si unakumbuka teacher alivyokuwa anachombeza habari za Mazoe kule kisimani kwenye kuteka maji? hahahahahaha hadi raha aiseeee!

Ok, nakushukuru sana kwa comment yako my dada, hopefully somo linaeleweka vema na wadau watazidi kutujuza zaidi hasa pale kunako uwanjani je inaweza ongeza hisia kwa wanaume na kunogesha mambo before kusasambua!

Wadau karibuni kwa maoni yenu!
 
usiogope kwani uzoefu unatuambia hapa janvini topic zote zinapitiwa na kuchangiwa na watu wa jinsia zote hata kama ukispecify jinsia,.....wewe jimwaege tu -------aaaaaaaaaaaah! hata mm nilikua napita tu. am sorry

Well said mkuuu, intersts za wadau nazo ni muhimu kuzisikia ili wahusika wajue nini akina kaka wanapendelea zaidi kutoka kwao! asante sana mkuu kwa kuliona hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…