Maambukizi katika njia ya mkojo (U.T.I)

Maambukizi katika njia ya mkojo (U.T.I)

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210311_143745_0000.png

U.T.I ni maambukizi katika njia ya mkojo na huathiri mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi, pia wadudu huathiri sana kibofu na yurethra

Jina U.T.I ni kifupi cha Urinary Track Infection. Jinsia ya kike wanaathiriwa zaidi kuliko jinsia ya kiume hii ni kwa sababu njia yao ya mkojo (yurethra) ni fupi

U.T.I husababishwa na wadudu wadogo sana ambao ni bakteria waitwao Escherichia coli (E. coli)
 
Upvote 0
Mkuu, hivi ni kweli wanaume hupata UTI kutoka kwa wanawake?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom