Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Kenya imerekodi maambukizi mapya 245 ya COVID19 yaliyotoka kwenye sampuli 3,150 zillizopimwa saa 24 zilizopita. Idadi hiyo imefanya maambukizi kufikia 30,365
Pia watu 504 wameripotiwa kupona na kufanya idadi ya waliopona kufikia 17,160. Watu 8 zaidi wamefariki kwa COVID19 na kufanya nchi hiyo kuwa na jumla ya vifo 482
Waziri wa Afya amewataka watumishi wa Afya kuwa mstari wa mbele katika kuikinga nchi hiyo dhidi ya janga hilo
===
Kenya’s COVID-19 cases on Monday rose to 30,365 after 245 more people tested positive for the disease from 3,150 samples tested within the last 24 hours.
Health Chief Administrative Secretary Dr. Rashid Aman, addressing the daily coronavirus briefings, said 145 of the new patients are males while 100 are females.
Dr. Aman said recoveries also rose to 17,160 after 504 patients recovered from the disease; 461 of them were under home-based care while 43 were discharged from various hospitals.
Eight more patients however succumbed to the disease, taking the number of fatalities to 482; 5 of them had underlying issues.
The CAS urged healthcare workers to maintain the course and their frontline role in protecting the country from the pandemic.
“As professionals and healthcare workers we have an obligation to serve. When you take the Hippocratic oath you ought to serve. Let’s not throw our hands and allow Kenyans to suffer in the midst of the pandemic,” he said.
Pia watu 504 wameripotiwa kupona na kufanya idadi ya waliopona kufikia 17,160. Watu 8 zaidi wamefariki kwa COVID19 na kufanya nchi hiyo kuwa na jumla ya vifo 482
Waziri wa Afya amewataka watumishi wa Afya kuwa mstari wa mbele katika kuikinga nchi hiyo dhidi ya janga hilo
===
Kenya’s COVID-19 cases on Monday rose to 30,365 after 245 more people tested positive for the disease from 3,150 samples tested within the last 24 hours.
Health Chief Administrative Secretary Dr. Rashid Aman, addressing the daily coronavirus briefings, said 145 of the new patients are males while 100 are females.
Dr. Aman said recoveries also rose to 17,160 after 504 patients recovered from the disease; 461 of them were under home-based care while 43 were discharged from various hospitals.
Eight more patients however succumbed to the disease, taking the number of fatalities to 482; 5 of them had underlying issues.
The CAS urged healthcare workers to maintain the course and their frontline role in protecting the country from the pandemic.
“As professionals and healthcare workers we have an obligation to serve. When you take the Hippocratic oath you ought to serve. Let’s not throw our hands and allow Kenyans to suffer in the midst of the pandemic,” he said.