THE GREAT CAMP
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 765
- 194
Viwangovyamaambukizi ni vikubwa zaidi katika mikoa ya Njombe (14.8%), Iringa na Mbeya (9%) na ni vyachini zaidi Zanzibar na Manyara.
Nchi nzima, 5.1% ya wanawake na wanaume wenye miaka 15-49 wana maambukizi ya VVU. Wanawake wana kiwango kikubwa cha maambukizi kuliko wanaume mijini na vijijini. 7.2% ya wakazi wa mijini wana maambukizi ya VVU ukilinganisha na 4.3% ya wakazi wa vijijini.
FUNGUA HIYO ATTACHMENT HAPO CHINI UONE TAKWIMU ZA MIKOA YOTE.
SOURCE: Utafiti wa Viashiria vya VVU/UKIMWI na Malaria Tanzania 2011-12
Nchi nzima, 5.1% ya wanawake na wanaume wenye miaka 15-49 wana maambukizi ya VVU. Wanawake wana kiwango kikubwa cha maambukizi kuliko wanaume mijini na vijijini. 7.2% ya wakazi wa mijini wana maambukizi ya VVU ukilinganisha na 4.3% ya wakazi wa vijijini.
FUNGUA HIYO ATTACHMENT HAPO CHINI UONE TAKWIMU ZA MIKOA YOTE.
SOURCE: Utafiti wa Viashiria vya VVU/UKIMWI na Malaria Tanzania 2011-12