Maambukizi yatokanayo na kupeana denda kwa wapenzi!

Maambukizi yatokanayo na kupeana denda kwa wapenzi!

bishankara

Senior Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
140
Reaction score
8
Naomba kujua ni maambukizi gani yaweza kuwapata wapenzi wanaopenda kupeana denda.
 
mate yana vimelea vya HIV na ndio mana kuna kpimo kinacho pima hiv kwa kutumia mate so take care unaweza ukajiona bingwa wa kutumia condom then unapenda kunyonya denda mara uende uvinza mara umeingiza vidole kule mahala na wakati unatakiwa kujua kuwa tunapo fua hua mikono yetu inachubuka kwenye vdole so usalama unakuwa hauupo hapo na ndio mana watu wanatumia condom then stll wanakufa na HIV na ukijaribu kuangalia hakuna hata m2 anaye fuata masharti ya condom ni kujiaminisha tu kwa imani kuwa upo salama ni mungu tu anatutetea ingawa tunamkwaza sana am not trust condoms at all i'll stop sex sababu masherti yake ni magumu kiasi cha kufanya ushindwe kuenjoy sex endapo utasema ufuatulie kila kipengere cha matumizi ya condom
 
Hepatit B,mwanangu..
Homa ya ini haina tiba.
Saliva doesnt not contain HIV VIRUS .you can google that.
Ila to be on the safe side jiepusha na DENDA ZEMBE.
 
Hepatit B,mwanangu..
Homa ya ini haina tiba.
Saliva doesnt not contain HIV VIRUS .you can google that.
Ila to be on the safe side jiepusha na DENDA ZEMBE.

Sasa inakuwaje mbona kuna mashine zinazo baini HIV kwa ku sample MATE! Chunga sana mkuu.
 
Sasa inakuwaje mbona kuna mashine zinazo baini HIV kwa ku sample MATE! Chunga sana mkuu.

Mi ninachojua ni kwamba,mpaka H.I.V wawepo kwenye mate,the infection has gone too far,yaan huyo mgonjwa ameanza kuonyesha dalili zote kubwa...otherwise HIV huwapati kwenye mate.Labda kule ukeni sawa,concentration ya virus huwa kubwa sana kule regardless the stage of the disease.
 
Mi ninachojua ni kwamba,mpaka H.I.V wawepo kwenye mate,the infection has gone too far,yaan huyo mgonjwa ameanza kuonyesha dalili zote kubwa...otherwise HIV huwapati kwenye mate.Labda kule ukeni sawa,concentration ya virus huwa kubwa sana kule regardless the stage of the disease.

There you are - wewe unazungumzia concentration lakini hujakanusha kwamba mate hayana virus, ninachosema hapa ni kwamba kama kuna blood capillaries zilizo pasuka kwenye lips, mdomoni, fizi za meno, ulimi unaweza kuambukizwa ukimwi na mate ya muathilika regardless ya viro load; it is suicidal ku-dismiss suala hili off hand just like that!
 
There you are - wewe unazungumzia concentration lakini hujakanusha kwamba mate hayana virus, ninachosema hapa ni kwamba kama kuna blood capillaries zilizo pasuka kwenye lips, mdomoni, fizi za meno, ulimi unaweza kuambukizwa ukimwi na mate ya muathilika regardless ya viro load; it is suicidal ku-dismiss suala hili off hand just like that!

Nakuunga mkono kamanda. Ni bora kuchukua tahadhari. Kuna michubuko mingine inatokea wakati wa kupiga mswaki, na unaweza hata usihisi kuwa una mchubuko.
 
Nakuunga mkono kamanda. Ni bora kuchukua tahadhari. Kuna michubuko mingine inatokea wakati wa kupiga mswaki, na unaweza hata usihisi kuwa una mchubuko.

Ndio hicho mkuu, michubuko mingine uhisi chochote; tunapaswa kuchukua tahadhari sana! One night stand can cost you an arm and leg - take HEED.
 
ukifika room na demu wewe vaa ndoma them rukia tu hakuna cha romance. hizi romance zinazingua tu
 
Back
Top Bottom