Maambukizo ya HPV

Maambukizo ya HPV

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Human Papilloma Virus (HPV) ni maambukizo yanayotokea sana wanawake na huambukizwa kwa kufanya ngono, unapata maambukizo

haya hata ukitumia kinga (Condom). Baadhi ya maambukizo haya huweza kusababisha Saratani iitwayo "Cervical" au Saratani ya Kizazi

ambayo inaweza kusababisha usiweze kushika mimba/zaa ktk maisha yako yote au maambukizo mengine huko ukeni ambayo sio yale

ya Ngono tunayoyajua nakutajia kila siku.


Hakuna dalili zozote za Saratani hii ya kizazi lakini ukiwahi kujua kuwa unayo kwa kufanya kipimo kiitwacho "Smear" basi unakuwa

umeokoa maisha yako kwani Saratani hii inaua wanawake sambamba na ile ya Matiti.


Mwanamke anaeanza ngono mapema (chini ya miaka 21) anakuwa kwenye hatari kubwa ya kupata Saratani hii na wale wanaoanza

Ngono ndani ya miaka 20 huwa x2 kwenye hatari ya kupata Saratani hii.


Huu ndio ukweli wa Ijumaa ya leo kwa maelezo zaidi Muone Dk bingwa wa magonjwa ya kike, Madaktari hawa wanapatikana kila

Hospitali kuwa Nchini.


[h=3]1. Picture of Genital Warts (HPV)[/h]

stds-s1-photo-of-genital-warts.jpg




 
when it comes to these viruses huwa nashindwa kuelewa what is wrong with them. anyway HPV ni ugonjwa mbaya sana sana na usiombe hata kumwona ndugu yako anaugua ugonjwa huu.

lkn pia sio tu kuanza ngono mapema kunakopelekea hawa virus kuwepo ila kuna scenario kama kufanya ngono na wanaume wengi, severe allergies za mafuta ya ngono ama lubricating gels na aina ya maisha. wengine pia ni genetics.

mara nyingi sana mwanamke mwenye hii hufika mahali hadi akawa na harufu mbaya ya mwili, lord have mercy!!! tujitahidi tu kuepuka predisposing factors. kuna article moja niliwah kausoma hata smoking among women it is a predisposing factor. so women shld stop smoking matumizi ya mavintu wasiyoyajua huko ukeni hasa haya ma gels, kubadili badili aina za condom kuingiliwa na wanaume wengi etc
 
Sure Human Papilloma Virus ni kirusi kibaya sana...Acheni ngono kinadada. Ocean road pale, 70% of all cancer cases, cervical cancer is the leading one...And the incidence is increasing each year its dangerous..
 
Back
Top Bottom