BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
sote tunafanya maanuzi...throughout your day, every day...mengine yanatokea tu hata huhitaji muda mrefu kuwaza..mf. kupiga mswaki asubuhi
maamuzi mengine ni kama kuamua nn kipikwe jioni...etc
...maamuzi mengi yana athari za muda mfupi...ila yapo yenye madhara ya muda mrefu...AS A MARRIED COUPLE you need to talk about how you will make decisions. WHAT ARE IMPORTANT DECISIONS?
nimewaza nikaona haya ni mambo muhimu kujadili na kufikia muafaka katika ndoa kabla ya kufanya maamuzi
1.ni wapi mtaishi...nikimaanisha maisha yenu yatakua sehem gan...mkoa au nchi.
2.watoto wangapi mtakua nao...
3.jinsi ya kuwalea watoto...
4. jinsi gani mtatumia fedha zenu na kuweka akiba!
5.malengo ya baadae kama wanandoa...
nimejisikia kushare hayo najua unajua zaidi...tushirikiane!
maamuzi mengine ni kama kuamua nn kipikwe jioni...etc
...maamuzi mengi yana athari za muda mfupi...ila yapo yenye madhara ya muda mrefu...AS A MARRIED COUPLE you need to talk about how you will make decisions. WHAT ARE IMPORTANT DECISIONS?
nimewaza nikaona haya ni mambo muhimu kujadili na kufikia muafaka katika ndoa kabla ya kufanya maamuzi
1.ni wapi mtaishi...nikimaanisha maisha yenu yatakua sehem gan...mkoa au nchi.
2.watoto wangapi mtakua nao...
3.jinsi ya kuwalea watoto...
4. jinsi gani mtatumia fedha zenu na kuweka akiba!
5.malengo ya baadae kama wanandoa...
nimejisikia kushare hayo najua unajua zaidi...tushirikiane!