Uchaguzi 2020 Maamuzi magumu CHADEMA tuliyowahi kufanya 2019

Uchaguzi 2020 Maamuzi magumu CHADEMA tuliyowahi kufanya 2019

Mathias Raymond Nyakapala

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
2,181
Reaction score
1,493
Uchaguzi huu Mkuu ndani ya Chama ulikuwa na maamuzi makubwa na Magumu,kwasababu CCM walikuwa wanatamani Mbowe asirudi ili apatikane mtu dhaifu ikiwezekana wamnunue,bila kujali propaganda zozote zile tumefanya maamuzi ya Kuwaleta na kuwaizinisha Makamanda.....
IMG_20191220_084359_238.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchaguzi huu Mkuu ndani ya Chama ulikuwa na maamuzi makubwa na Magumu,kwasababu CCM walikuwa wanatamani Mbowe asirudi ili apatikane mtu dhaifu ikiwezekana wamnunue,bila kujali propaganda zozote zile tumefanya maamuzi ya Kuwaleta na kuwaizinisha Makamanda.....View attachment 1299356

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wote ndio waliilangua Chadema 2015 kwanini unasema Mbowe hanunuliki?you can't teach old dog new tricks!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom