Niweke wazi kwamba sina jibu kamili la mada tajwa. Lakini ninachokielewa ni kwamba Marekani ni taifa kubwa ambalo Rais yoyote anayeingia madarakani hawezi kwenda kinyume na vision yao.
Hata hivyo kauli na ubabe wa Rais wa sasa wa taifa hilo, zinatafakarisha sana hususani implication ya kauli yake ya kuwahamisha Wapalestina.
Pia soma: Maamuzi ya Trump yamelenga kuwasaidia Viongozi wa Serikali za Afrika kuwa Wabunifu na kutumia akili
Je kauli zake hizi huwa zina baraka ya white house? au huwa anakurupuka tu hatua inayoweza kuharibu international diplomacy ya taifa lake? Au huwa ni a well calculated move?
Hata hivyo kauli na ubabe wa Rais wa sasa wa taifa hilo, zinatafakarisha sana hususani implication ya kauli yake ya kuwahamisha Wapalestina.
Pia soma: Maamuzi ya Trump yamelenga kuwasaidia Viongozi wa Serikali za Afrika kuwa Wabunifu na kutumia akili
Je kauli zake hizi huwa zina baraka ya white house? au huwa anakurupuka tu hatua inayoweza kuharibu international diplomacy ya taifa lake? Au huwa ni a well calculated move?