Nataka niwaambie kuwa,kauli za kibaguzi za mhandisi Hersi,kiburi cha pesa na nguvu ya wanasiasa walio nyuma yake,dhidi ya wachezaji,ni mambo ambayo yameleta utisho wa wachezaji kutotamani kucheza yanga.
Zile kauli kuwa hakuna mchezaji aliye juu ya club,ziliwafanya washindwe kutumia busara kutatua migogoro,na badala yake kufanya mambo ya kuwatisha wachezaji.
Wakati mwingine kuwalaumu eti wameuza mechi,wakati sio kweli,hilo ni jambo linalowaumiza sana wachezaji na wengi wanapoteza kujiamini.
Kwa huyu rais ni suala la muda tu.Mtakuja kuumia na hamtasahau.
Zile kauli kuwa hakuna mchezaji aliye juu ya club,ziliwafanya washindwe kutumia busara kutatua migogoro,na badala yake kufanya mambo ya kuwatisha wachezaji.
Wakati mwingine kuwalaumu eti wameuza mechi,wakati sio kweli,hilo ni jambo linalowaumiza sana wachezaji na wengi wanapoteza kujiamini.
Kwa huyu rais ni suala la muda tu.Mtakuja kuumia na hamtasahau.