Wenzako huwa tunashiba halafu ndio tunavutaWeng mlikua hamjui maana ya neno bangi sasa leo ngoja niwape maana yake halisi.
Bangi ni jani la mgomba linalochanua kwenye mbuyu kupitia treni kabla hujaumwa kwenye mafuta ya samaki na kupokea injini ya baiskeli iliyopita angani na mvua ikawaka jua.
Ahsanteni sana na wakilisha
safi sana mkuukaka mkubwa habari ya wewe
We jamaa kuna ka app umetengeza ka kureply thread zote nn? hahahahaKweli kabisa hio ni bangi
Hapana mkuuWe jamaa kuna ka app umetengeza ka kureply thread zote nn? hahahaha