Uchaguzi 2020 Maana halisi ya "Hata tusipofanya kampeni tutashinda" ndio hii

Uchaguzi 2020 Maana halisi ya "Hata tusipofanya kampeni tutashinda" ndio hii

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Niliandika makala kadhaa hapa nikaonekana chizi, mara CCM, kumbe sina hata chama.

Mm niliacha siasa baada ya Lowassa kukubali matokeo, bila action wala tamko wakati 2015 Watanzania walikua tayari kwa lolote.

Miaka 5 imepita JPM kajitahidi kurudisha mioyo ya watu na kufanya mengi watu wamkubali.

Kwa mambo aliyoyafanya kwa miaka 5 tu yawe mazuri na mabaya yake ilikuwa ni lazima ashinde tena hata bila kampeni. Wapinzani mmeelewa?

Kwa hiyo kufanya kampeni ilikua ni kama kukamilisha tu ratiba sababu tume inataka hivyo.

Hongera Magufuli japo inauma lakini hatuna ujanja wa kukutoa kabisa hata ukiwa kama M7 hakuna wa kukwambia kitu.
 
Watu wameona isiwe tabu, umepigwa risasi na bado hujapona vizuri halafu tena tukuongezee majukumu ya urais, ni afadhali tukuonee huruma kwa kumpa kura magufuli ili ukatibiwe vizuri.
 
[emoji28]saivi ni ku comment kwa uangarifu mzee asije anza na sisi wa JF
 
Watu wameona isiwe tabu, umepigwa risasi na bado hujapona vizuri halafu tena tukuongezee majukumu ya urais, ni afadhali tukuonee huruma kwa kumpa kura magufuli ili ukatibiwe vizuri.
Unaandika hivi wakati unagongewa waifu wako, bint yako (legal age) na mchepuko wako at the same time yani 4some
 
Chadema wamepigwa kotekote mbele na nyuma.
yani Urais,ubunge na udiwani.
 
Mnaibaiba kura na kuendelea kutafuna nchi halafu uamdhihaki braza Lissu.

What kind of people are who doesn't have conscious?
Huyo braza wako alkuwa wap wakati wenzake wanaiba kura.? Au aljifanya mchungaji hatak kuiba.? Kila mtu atapata anachostahili
 
Back
Top Bottom