Maana halisi ya "If you do me, I do you", tukutane Mahakamani

Maana halisi ya "If you do me, I do you", tukutane Mahakamani

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Unyama mwingi mwaisa.

FB_IMG_1662483618724.jpg
 
Hivi ndio viwanja vya mchongo, mnauziwa kiwanja kimoja zaidi ya watu wawili, anayewahi kujenga ndio mshindi, akitokea mbishi naye anakupiga ukuta.
 
Hapa Sasa ndio uhasama Kati ya majirani huanzia..

Unakuta majiran hamsalimiani Ila watoto wenu wanacheza pamoja hahahaaaa
 
Back
Top Bottom