Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
1. Je ni hizo huduma hapo ☝️ au ni upya wa basi?
2. Basi la zamani lenye vigezo hivyo huu au basi lolote jipya?
Ikitokea huduma tajwa hapo ikakosekana kwenye gari na kiwango cha nauli umelipia luxury abiria anasaidiwaje au achukue hatua gani?.
SUMATRA wanatumia kigezo gani kugawa haya madaraja?
Wajuvi tusaidiane hapo☝️