Maana halisi ya "Luxury Bus" ni nini?

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293

1. Je ni hizo huduma hapo ☝️ au ni upya wa basi?
2. Basi la zamani lenye vigezo hivyo huu au basi lolote jipya?

Ikitokea huduma tajwa hapo ikakosekana kwenye gari na kiwango cha nauli umelipia luxury abiria anasaidiwaje au achukue hatua gani?.

SUMATRA wanatumia kigezo gani kugawa haya madaraja?

Wajuvi tusaidiane hapo☝️
 
Eti ni bas wanalogawa biscuit na soda 😅😅😅
 
Na Basi iliyoandikwa UPPER CLASS?

Ni wadanganyifu tu, wanajua watanzania siyo wafuatiliaji wa kujua haki zao, all in all
Luxury buses or coaches are typically used for travelling longer distances, coaches place more of an emphasis on comfort and entertainment. Coaches are often equipped with larger, more comfortable seats, whereas buses possess standard two and three-seater, bench-style seats.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…