Maana halisi ya Rastafari

Rasta ni harakati,mfumo wa maisha unaojali asili na usawa na hasa kumhusu mwafrika mnyanyaswa,AMANI na UPENDO na maisha ya kiasi ndo msingi wao,na km ujuavyo amani na upendo ni vitu vinaasili ya Mungu na imani ndo maana watu wameikoleza harakati kombozi hii na imani na wakakolezea na kusoma na kufuata agano la kale
 
Definetly true na huyo bishop alikuja akambatiza Bob na familia,Haille alikuwa muumini wa etiopian orthodox na Nesta pia alibatizwa huko kabla hajafa
 
Ulitaka kulimbukia usichokijua maana ulidhani urasta ni kufuga dread
 
Jamaa hakuwahi jiita massiah bro,orthodox wanaamini juu ya Yesu kuwa ndo massiah na hawana tofauti sana na wakatoliki,sasa km Selassie alikuwa muumini wa imani inayoamini kuwa Yesu ndo Massiah inawezekanaje yy ajiite massiah,acheni kudanganya watu,huyu alikuwa mfarume mtiifu wa imani yake ya Ethiopian orthodox
 
Hakuna uthibitisho wa kimaandiko kuwa Selassie alikuwa mmoja wa uzao wa solomoni,japo waisraeli na waethiopia wanamuingiliano wa kihistoria na kuna mchanganyiko wadamu kiasi kuna waisraeli weusi,lkn hata km ana blood link haimaanishi chochote kwa yy kuonwa mtakatifu ama astahiliye kuabudiwa maana hata solomoni mwenyewe hakuabudiwa,jamaa anaheshimiwa km mfalme mtetezi wa uafrika mlezi wa harakati za kumkomboa MTU mweusi,hausiki chochote na kuabudika maana hata yy mwenyewe alikuwa muumini na alimtambua Yesu km massiah maana ndoimani ya orthodox hyo
 
Tambua uwepo wa yesu na mohd lkn usifuate mafundisho yao. Hapohapo uwe ustadh au mchungaji! Sielewi uno na uno nshike upi?
Hili ni fundisho la mtaani la kubumbwa hasa watu waliofuata urasta kwa kusumwa na uvutaji bangi,orthodox dhehebu kongwe ambalo sellasie aliabudu wanamtambua Yesu km bwana na mwokozi,sellasie alibatizwa ktk jina la Kristo km batizo zilivyo kumkili Kristo,na alikuwa muumini wa dini hyo inayomtambua na kufuata mafundisho ya kiKristo maana orthodox ni uKristo hawanabtofauti kabisa na wakatoliki maana wanamuheshimu na kumuadhimisha hata Mariamu kwa nafasi ya Kuwa mama wa mwokozi km wakatoliki
 
Tukubaliane Haille Selassie alikuwa mkristo muothodox
 
Wapi maandiko yanaonesha Nuhu aliokoa majini,andiko toka kitabu gani,
 
Iko hivi.
Hallelu YAH, Hallelu JAH, Asifiwe MUNGU, BWANA Asifiwe, Praise THE LORD .

YAHWE, JAH , JAH, MUNGU, BWANA MUNGU, THE LORD, THE ALMIGHTY GOD, MWENYEZI MUNGU. Ndiyo huyo huyo ni tofauti ya Lugha na mahali tu.
Hivi unajua hata jina Yahwe lilikosewa kimatamshi ndo likaandikwa hivyo,awali jina la Mungu kwa waisraeli halikutamkwa sababu nitakatifu sana,lilisomwa Mara moja tu kwa mwaka tena na kuhani,nalo lilikuwa halijaandikwa Yaweh Bali zilikuwa tu ni herusi zisizotamkika,wakati wa ukristo na ufasiri wa maandiko kutoka lugha asili kuja za sasa ndo kimakosa ya pronounsiation likatamkwa YAHWEH lkn kiasili haliko hivyo na mpaka sasa wayahudi wanataja herufi tatu tu
 
Nyama ina ubaya gani kwa Rastafari?
Kiasili binadamu hakuumbwa kula nyama,angalia hata mfumo wa uyeyushaji chakula,sisi kiasili ni vegetarian siyo canivorus angalia hata meno yetu yanakupa ushahidi,nyama tulianza kula baada ya shida ya ghalika ambapo mimea yote iliteketea,
 
Kuna kitu fikiria kutoka ktk jibu lako,
Haille Selassie alikuwa Orthodox(Mkristo)
Kateuliwa na marasta duniani kuwa kiongozi wa marasta(ambao wanaamini haileselasie ni massiah)
Inamaana ukisema Haille Selassie ni massiah unamaana ni massiah kwa kuteuliwa na si kwa msingi wa rasta kuwa ni Yesu aliyekuja Mara ya pili,
Lkn pia hata kumpa ukabila la yuda inamaana ni jambo la kupewa tu,
Yy alikuwa Mkristo wa thehebu la orthodox,Mkristo mtiifu kabisa kwa Kristo anakuaje tena yy ndo messiah tena,
Jamaa alikuwa mfalme wa kawaida tu aliyepigania uafrika na umoja wetu,ndo maana nasema Rastafarian is just a Blackman revolutionary movement,baaaaasi siyo dini km mlivyoichomekea vitu kibao,
Sema msingi wa upendo ndo umefanya muone na kuifanya imani ama dini,maana Upendo ndo msingi wa mafundisho ya Mungu maana hata Mungu mwenyewe ni Pendo
 
Hili swali lingejibiwa kwa weledi basi urastafari ungefahamika vizuri:
 
Mapi, akuna kitu kamaicho uwe ustadh alafu uwe rasta apana. akuna ktu kitu kama icho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…